KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
unabaka swali! mkuu nawewe unataka zakuleta sasahivi utakula ngumi ya jicho!mungu hayupo,dini uongo mtupu,tumelikubari!
Wanasayansi wafanye utaalamu wao tupate mvua mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unabaka swali! mkuu nawewe unataka zakuleta sasahivi utakula ngumi ya jicho!mungu hayupo,dini uongo mtupu,tumelikubari!
Wanasayansi wafanye utaalamu wao tupate mvua mkuu!
Kwani wewe hujui kuwa tukio zima mpaka tunapata mvua sayansi tosha?au We una amini katika mungu!?unabaka swali! mkuu nawewe unataka zakuleta sasahivi utakula ngumi ya jicho!
Kwani mfumo wa kupata mvua upoje?mungu hayupo tumelikubari,wanasayansi wafanye mpango tupate mvua ,sayansi ndio kila kitu, mambo ya dini ni uongo
Nitafute siku nyengine nikufundishe kuhusu sayansi, Mungu na ulimwengu halafu ndo utaelewa mimi nasimama na nini!.. japo kama unaweza kutafuta nyuzi zangu zipo na nilishaeleza kila kitu kuhusu ninachoamini na nisichoamini!.. sasahivi naenda kwa mshangazi usinivuruge ukaniharibia mood nikashindwa kwenda kuila vizuri nikashusha cv!Kwani wewe hujui kuwa tukio zima mpaka tunapata mvua sayansi tosha?au We una amini katika mungu!?
Wanasayansi ndio wanafanya utundu tunapata mvua, nahisi wamehamua watukomoe au njama za TrumpKwani mfumo wa kupata mvua upoje?
Unaropoka vitu gani hata haueleweki🚮Wanasayansi ndio wanafanya utundu tunapata mvua, nahisi wamehamua watukomoe au njama za Trump
Asante Mama SamiaBado watu wa Chama fulani watakuja na propaganda
Wewe ni zwazwa sana!Unakuwa mwekundu kwa sababu dhambi za Dunia zimekuwa nyingi.......kumbuka kile kinvuli ni Cha dunia.
Ndio mtajua Imani Ina nguvu....
😀😀Wewe ni zwazwa sana!