Jiandaeni kesho kwa press conference ya utopolo baada ya Simba kufanya yake

Jiandaeni kesho kwa press conference ya utopolo baada ya Simba kufanya yake

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yes kesho by mchana au saa kumi kutakuwa na press conference ya kupotezea tukio zito la leo la simba kutoa kichapo cha mbwa mwizi kwa wa niger

Kabla ya press conference hiyo tarajia HABARI ZA UZUSHI KUANZIA ASUBUHI ZITAKAZOSAMBZWA NA MAKANJANJA kwamba GSM washakubaliana kumsajili Adebayor wa UGSN na Yacouba sogne kamshawishi Stephane ki aziz wa asec mimosah kujiunga na wana utopwinyo kwa sababu wote wanatoka taifa la Burkina faso.

Usihangae pia kusikia Steve nyerere anachaguliwa rasmi kuwa mhamasishaji wa kilabu hicho cheny kupenda mwiko uwe nyuma.

Usisahau makanjanja yatafanya kazi nzito sana kuanzia asubuhi ili ushindi wa simba na kuibeba nchi kwa mara ya tatu kuingiza teams 4 Africa isiwe habari nzito.

Niwakumbushe tu katika majirani zetu walioweza kuingiza teams 4 michuano ya CAf ni Congo DRC, Sudan basi kwa hapa ni simba pekee iliyofanikisha hilo mara tatu.
 
wako kimyaaaaaaaaaa!!!!!
wataongea nini majinga yale? kwa mara ya tatu nchi inaingiza teams 4 kwa hisani ya simba kitu ambacho kenya na Uganda wanakisikiaga kwa wengine tu kwa kifupi Cecafa inabebwa na simba ila ndo hivyo bana tumezungukwa na mijitu yenye roho za kutu ikiendaga kimataifa inabakwa tu round ya awali nje na ndani out
 
Pambaneni na hali yenu achana na yanga wewe mkia, unapoiingiza yanga kwenye habari zako za kijinga unakuwa unaonyesha ujinga wako wazi wazi,
 
Kweli nyie ni wajinga, kucheza mcheze nyie lakini habari zenu zote mnahusisha na Yanga. Zungumzieni habari zenu, achana na Yanga.
 
Idara ya habari mbona kimya jameni? wana wanga africans tunasubiri muongozo wenu, tunatambiwa sana leo
 
Back
Top Bottom