TANZIA Jiang Zemin aliyekuwa Rais wa China afariki dunia akiwa na miaka 96

TANZIA Jiang Zemin aliyekuwa Rais wa China afariki dunia akiwa na miaka 96

ASIWAJU

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2022
Posts
1,938
Reaction score
1,632
china.jpg

Aliyekuwa Rais wa China bwana Jiang Zemin amefariki dunia leo alfajiri mjini Shanghai China akiwa na umri wa miaka 96.

Taarifa kutoka vyombo vya utawala vya China [ kamati kuu ya Chama cha kikomunisti cha China, kamati ya kudumu ya bunge la taifa la China , Baraza la mashauriano ya kisiasa na kamati kuu ya kijeshi] zinasema bwana Jiang Zemin ameaga dunia kutokana na saratani ya damu na kushindwa kwa viungo vya mwili, baada ya matibabu yote kushindikana. kwenye barua iliyo andikwa kuutarifu umma wa China kuhusu kifo hicho.

Komredi Jiang Zemin ametajwa kuwa alikuwa kiongozi bora aliye heshimiwa na Chama kizima,jeshi lote na watu wa China wa makabila yote, mfuata nadharia ya u-marxist mkuu mwanamapinduzi mkuu wa tabaka la wafanyakazi, mtawala mwana mikakati ya kijeshi na mwanadiplomasia, mpiganaji wa muda mrefu wa ukomunisti aliyepata changamoto na kiongozi mahiri aliye pigania ujamaa wenye umaarufu wa China.

Pia ametajwa kuwa alikuwa nguzo ya uongozi wa pamoja wa kizazi cha tatu Cha chama cha kikomunisti cha China, na mwanzilishi mkuu wa nadhari ya uwakilishi mtatu.

Chanzo: CRI Swahili.
 
Wakati wanamtoa Hu juntao ukumbini alikuwepo?
Alikuwa anaumwa haukuweza kuhudhuria mkutano mkuu wa 20 wa kitaifa wa chama cha kikomunisti cha China, hata Hu Jintao naye hari yake ya kiafya si nzuri ndio maana hata kwenye ufunguzi na ufungaji wa mkutano pale Beijing/great fall of people alio onekana mwenye matatizo ya kiafya.
 
Alikuwa anaumwa haukuweza kuhudhuria mkutano mkuu wa 20 wa kitaifa wa chama cha kikomunisti cha China, hata Hu Jintao naye hari yake ya kiafya si nzuri ndio maana hata kwenye ufunguzi na ufungaji wa mkutano pale Beijing/great fall of people alio onekana mwenye matatizo ya kiafya.
Namuona Xi Ji Ping akikaa miaka 20 zaidi..
 
.... miaka 96 aliyoishi ni siku 96 x 365 = 35,040 days! Wengi mnaosoma uzi huu ni kati ya miaka 22 (siku 8,030) hadi miaka 50 (siku 18,250). Dah; siku za mwanadamu ni chache mno duniani! Tubuni na kuiamini Injili! RIP.
 
CCM imeletwa na Watanzania wenyewe, China hai husiki kwa chochote kile.
Nani kakudanganya Kila kitu wanawafundisha kumbuka mabomu ya nchemba kule Arusha mpaka kuteka wanawafundisha wao make huu sio utamasuni wetu
 
.... miaka 96 aliyoishi ni siku 96 x 365 = 35,040 days! Wengi mnaosoma uzi huu ni kati ya miaka 22 (siku 8,030) hadi miaka 50 (siku 18,250). Dah; siku za mwanadamu ni chache mno duniani! Tubuni na kuiamini Injili! RIP.
Umeaza vzr kwenye injili tu ndio umeharibu
 
.... miaka 96 aliyoishi ni siku 96 x 365 = 35,040 days! Wengi mnaosoma uzi huu ni kati ya miaka 22 (siku 8,030) hadi miaka 50 (siku 18,250). Dah; siku za mwanadamu ni chache mno duniani! Tubuni na kuiamini Injili! RIP.

Siku 35,040 ni chache? [emoji3][emoji3]
Sasa nyingi ni ngapi?
 
Nani kakudanganya Kila kitu wanawafundisha kumbuka mabomu ya nchemba kule Arusha mpaka kuteka wanawafundisha wao make huu sio utamasuni wetu
Haupaswi kuitupia lawama China kwa makosa ya sisi wenyewe Watanzania kupitia Chama Cha mapinduzi sioni sababu ya wewe kufanya hivyo.
 
Haupaswi kuitupia lawama China kwa makosa ya sisi wenyewe Watanzania kupitia Chama Cha mapinduzi sioni sababu ya wewe kufanya hivyo.
China ndio maswahiba wa CCM hawaziepuki lawama zetu kutufundishia ugaidi hili dude CCM
 
Mwili wake umepata kuchomwa moto na majivu kumwagwa baharini, kama taratibu za mazishi zilivyo elekeza.
 
Back
Top Bottom