Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Kiukweli nawakubali sana wcb ila wanakoelekea naona wanatuharibia maadili maana jana nimefedheheka sana.
Jana nlikuwa nacheki hii video na mtoto wa ndugu yangu ambae huwa ananiuliza maswali sana ambayo nilikosa cha kumjibu maan majibu yake yamenyoka ila sikuweza kumjibu, Diamond verse yake katumia lugha ya jawaida ila hawa kina lavalava na mbosso wameimba vitu ambavyo ni vya kij*nga sana na lawama yote iende kwa C.E.O wao Diamond aliyewaruhusu waimbe ujinga mtupu.
mushedede ni nini?
mushedede mtukutu unazamaje kwenye kisima?
kaka kaka (najidai nipo busy na simu) kasema atamshindua na miuno aisha, kushindua ni nini?
mwendo wa kwachu kwachu kitandani ukoje?
Eh, kaka kumbe jusi bichwa linasafishaga mtaro, likoje na huo mtaro ukoje
Kaka, kumbe fatuma jirani yetu nyuma ana fungu 2 zenye nyanya za sasaro?
BASATA MPO WAPI??? HII NYIMBO IFUNGIWE TU JAPO MI NI SHABIKI WA WCB.
Jana nlikuwa nacheki hii video na mtoto wa ndugu yangu ambae huwa ananiuliza maswali sana ambayo nilikosa cha kumjibu maan majibu yake yamenyoka ila sikuweza kumjibu, Diamond verse yake katumia lugha ya jawaida ila hawa kina lavalava na mbosso wameimba vitu ambavyo ni vya kij*nga sana na lawama yote iende kwa C.E.O wao Diamond aliyewaruhusu waimbe ujinga mtupu.
mushedede ni nini?
mushedede mtukutu unazamaje kwenye kisima?
kaka kaka (najidai nipo busy na simu) kasema atamshindua na miuno aisha, kushindua ni nini?
mwendo wa kwachu kwachu kitandani ukoje?
Eh, kaka kumbe jusi bichwa linasafishaga mtaro, likoje na huo mtaro ukoje
Kaka, kumbe fatuma jirani yetu nyuma ana fungu 2 zenye nyanya za sasaro?
BASATA MPO WAPI??? HII NYIMBO IFUNGIWE TU JAPO MI NI SHABIKI WA WCB.