Tuliwahi kupost habari ya hii kampuni kuja mjini Arusha na kufanya kazi kama DESI. Chanzo cha habari toka maeneo ya Kijenge makao makuu ya hii kampuni ni kwamba inadaiwa na zaidi ya wateja wake 300 na haionyeshi dalili za kulipa madeni.
Mwenye taarifa kamili atujuze
Mwenye taarifa kamili atujuze