Jibu financial services

Jibu financial services

Smallfish

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2012
Posts
241
Reaction score
66
Tuliwahi kupost habari ya hii kampuni kuja mjini Arusha na kufanya kazi kama DESI. Chanzo cha habari toka maeneo ya Kijenge makao makuu ya hii kampuni ni kwamba inadaiwa na zaidi ya wateja wake 300 na haionyeshi dalili za kulipa madeni.

Mwenye taarifa kamili atujuze
 
Watanzania kwa kupenda dezo!!!hatujambo yaani unaona kabisa anayekuambia atakupa pesa shida zimemzonga mpaka uvunguni lakini bado unampelekea pesa ili akuzalishie.Ina maana upatu,dollar jet,DECI haikua fundisho tosha kwa wananchi?
 
Back
Top Bottom