Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Me nakumbuka mwaka 2008 niliambiwa kuliko kukupa wewe mbunye yangu bora nikampe mbwa.
Nilikaa kimya kwa muda , nikawa Na sura ya upole mno.Sikumjibu kitu ila nikageuka kwa unyonge nikaondoka taratibu huku nikionyesha kuwa Na mawazo.
Akanionea huruma akaniambia simama G ........... Nisubiri
Ni jibu gani hilo hutokuja kusahau Na ulitokaje kwenye mtego huo?