KabisaKwa ninavyoona mapenzi = kifo
Kaa chonjo
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Dahhh! Ila anaendeleaje sasa hivi huko alipoView attachment 2523181
Me nakumbuka mwaka 2008 niliambiwa kuliko kukupa wewe mbunye yangu bora nikampe mbwa.
Nilikaa kimya kwa muda , nikawa Na sura ya upole mno.Sikumjibu kitu ila nikageuka kwa unyonge nikaondoka taratibu huku nikionyesha kuwa Na mawazo.
Akanionea huruma akaniambia simama G ........... Nisubiri
Ni jibu gani hilo hutokuja kusahau Na ulitokaje kwenye mtego huo?
Wewe wewe wewe hili ni jukwaa la MMU hapa tumespecialize kwenye uchakataji wa Mbususu na maFantasyMbona vijana mnapenda sana kujadili hadi vitu vya ovyo kiasi hiki.๐ก๐ก๐ Tambueni wachache ndio wanao fedhehesha huu mtandao, this is not FACEBOOK wazee msipende kutengeneza uzi kiboya tu hvyo๐ ๐ ๐
Tell himWewe wewe wewe hili ni jukwaa la MMU hapa tumespecialize kwenye uchakataji wa Mbususu na maFantasy
Nenda kadai katiba mpya kuna jukwaa lenu la katiba
DuuuhYule demu alimwambia rafiki yake yule mwanaume famba tu simkubali. Nikamtongoza mdogo wake akanikubali kuja kujua akawa anamjaza maneno tele ila mdogo mtu alinipenda sana. Kuona hawezi kututenganisha ghafla akaw ananipenda sio kwa swaga zile. .
Ila hata mdogo mtu nilipiga chini baada y kuona mama yao an roho mbaya sana. Jinsi alikuw anamnyanyasa sana mtoto wa kambo wa baba yao tena mtoto mkubwa wa miaka ishirini na. Dalili ya mvua ni mawingu. .
Huu mtandao ni zaidi ya Facebook,humu kuna majukwaa mbalimbali ya kujadili mada mbalimbali,sasa jukwaa hili tujadili Mambo gani zaidi ya haya!Mbona vijana mnapenda sana kujadili hadi vitu vya ovyo kiasi hiki.๐ก๐ก๐ Tambueni wachache ndio wanao fedhehesha huu mtandao, this is not FACEBOOK wazee msipende kutengeneza uzi kiboya tu hvyo๐ ๐ ๐