Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Huu ni uzi maalum wa kujibiana kinunda kama sehemu ya kufurahishana.
Unaandika statement na unaandika ungependa wakujibu kama nani.
NB: matusi hayatakiwi, kuna ban.
Naanza...
"Nina muda sijala chipsi mayai"
Jibu kama mwanaume wa mkoani
😀😀😀😉
Unaandika statement na unaandika ungependa wakujibu kama nani.
NB: matusi hayatakiwi, kuna ban.
Naanza...
"Nina muda sijala chipsi mayai"
Jibu kama mwanaume wa mkoani
😀😀😀😉