Huyo mzee ni tapeli la duniaRussia ameshaanza uongo, aliidanganya Armenia kuwa itamlinda ila Azerbaijan waliposhambulia, askari wa Urusi walitulia bila kufanya lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee ni tapeli la duniaRussia ameshaanza uongo, aliidanganya Armenia kuwa itamlinda ila Azerbaijan waliposhambulia, askari wa Urusi walitulia bila kufanya lolote
Ni vile tuna upenzi tu wa hizi timu lakini ukweli huyu jamaa, aitwae Putin, ni mwamba aisee;Kila mmoja kajibiwa kwa wakati wake :Israel kashajibiwa anaendelea kuteseka mpaka sasa
:Ujerumani na Nchi za Ulaya zinaumia viwanda vipo chini ya uzalishaji na ajira kupungua baada kukatiwa Gas
:Marekani mabilioni yake ya Dola yameendelea kuteketea bila kusaidia chochote Ukraine zaidi imepoteza ardhi yake..wakati huo huo Russia anazidi kujitanua Duniani Nyambizi zipo Cuba Zingine zipo Atlantic na Pacific ambayo ni Asia Mfaransa kabinywa kende kafurushwa Africa magharibi Mali, Burkina Faso, Niger, Mali, Gabon na Russia wameribishwa.
Shida yako umeathiriwa na magemu ya vita lakini muvi za Hollywood na akina Schwazeneger, Rambo unadhani Ndo vita halisi, unavyoonekana una stori nyingi sana za vijiweni kuhusu US, hakuna silaha hata moja ya NATO ya kumtisha KIDUKU achana na PUTIN kwa sababu hadi sasa kuanzia US,UK, France, German, Japan, Nordic countries, yaani tunazungumzia vifaru chapa chui (Leopard 2), Abrahms, Mfumo wa anga wa US (THAAD) Sijui nini zoote zimebamizwa na HYPERSONIC (KINZAL) sasa hivi west wanawaza uchawi tuUrusi ni mbwa asiye na meno! Hakuna nchi Duniani ya kupigana na Marekani, Warusi wa Buguruni hawataki ukweli.
Putin anatapatapa tu hana lolote,mara aende Iran kuomba Drones,mara North Korea,muda ukifika utaongea wenyewe!
US itai contain mara ngapi tena wakati SK ni kama koloni lake?Hii itaisaidia USA ku contain South Korea kwa bei rahisi
Kama mwanzoni alizuia mapigano haina ya hizi nchi ikawa ni pamoja na kuweka askari na vifaa vya kijeshi, hii mara ya mwisho ni kipi kilibadilika?Kuna mikataba inazuia Russia kuishambulia Nchi nyingine yeye ni Peace Keepers pale na alikubaliwa na Nchi zote Armenia na Azerbajain ila mkataba aliosaini na Kim ni wa Kivita zaidi ikiwepo kusaidiana silaha
Marekani anabebwa na NATO bwasheee hana jingine jipyaUrusi ni mbwa asiye na meno! Hakuna nchi Duniani ya kupigana na Marekani, Warusi wa Buguruni hawataki ukweli.
Putin anatapatapa tu hana lolote,mara aende Iran kuomba Drones,mara North Korea,muda ukifika utaongea wenyewe!
Ameenda North Korea kuomba chumvi na kiberiti!Bahati mbaya au nzuri hakuna silaha atakayopeleka itakayoleta maajabu,Kama Abraham's na vifaru vyote vya maana vimepigwa kiberiti,makombora yanatunguliwa,air defense zinamalizwa sijui yeye S/Korea ana silaha gani ya kubadilisha upepo.
Na KY JELLSAmeenda North Korea kuomba chumvi na kiberiti!
Sijui una Elimu gani,Urusi ni mbwa asiye na meno! Hakuna nchi Duniani ya kupigana na Marekani, Warusi wa Buguruni hawataki ukweli.
Putin anatapatapa tu hana lolote,mara aende Iran kuomba Drones,mara North Korea,muda ukifika utaongea wenyewe!