Tangu Tundu Lissu atangaze kaulimbiu ya No Reforms No election kumekuwa na matamko kadhaa ya kkipuuzi na ya kitoto yanayotolewa na viongozi wa upande kinzani.
Kwa ujinga hawajaweza kujibu hoja za msingi za Tundu Lissu. Hoja zake zipo very clear kwamba, ni lazima kwanza kufanya maboresho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi ndipo ufanyike uchaguzi.
Badala ya kujibu hoja hizo, wao wanawaambia wananchi kwamba eti Lissu anataka kuleta vurugu Nchini. Jibuni hoja, msiwadanganye Watanzania.
Haiwezekani mtu anakudhulumu mali yako halafu unapodai haki yako unaambiwa unataka kuleta vurugu.
Mwaka huu haitawezekana tena kugombea au kusimamia uchaguzi bila kufanyika kwanza maboresho ya Katiba na Sheria bora za Uchaguzi.
Kwa ujinga hawajaweza kujibu hoja za msingi za Tundu Lissu. Hoja zake zipo very clear kwamba, ni lazima kwanza kufanya maboresho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi ndipo ufanyike uchaguzi.
Badala ya kujibu hoja hizo, wao wanawaambia wananchi kwamba eti Lissu anataka kuleta vurugu Nchini. Jibuni hoja, msiwadanganye Watanzania.
Haiwezekani mtu anakudhulumu mali yako halafu unapodai haki yako unaambiwa unataka kuleta vurugu.
Mwaka huu haitawezekana tena kugombea au kusimamia uchaguzi bila kufanyika kwanza maboresho ya Katiba na Sheria bora za Uchaguzi.