NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
uckiimprove kilichonivutia ni hiyo lahaja ya kipwani maana yanipa raha mie, ushanifahamu ati Nilham
ok!!!
Afathali sasa nitapumua maana nilidhani jamatini pashaingia goro tena
i like u...
Kumbe ukila Kungu ndo unakuwa na jicho la mahaba ...?
mmmh jicho lako bibie nalitamani kweli...................................
Me natokea Tanga,sa sijamielewa mnaposema Jicho,me nlitaka kujua ni jicho gani mwalizungumzia maana mwanichanganya mie?
Likoje?
Hebu cheki Avatar yangu ndo utajua lipo vipi jicho la mahaba maana nasifiwa na wadada mtaani kwe2!!
hahahahhhahaaaaaaaaaaaaaaaa Thank you God to keep me alive nakushuhudia haya yote.
mtoto wayajua mambo wewe,embu endelea kudadafua tupate huo uhondolalegalega kuanguka mwenzangu.kama mke kama mume aduaa kama kachomwa msumari,,mana ayakaza umfahamu kama kakudondokea..
lalegalega kuanguka mwenzangu.kama mke kama mume aduaa kama kachomwa msumari,,mana ayakaza umfahamu kama kakudondokea..
I hope ukiniona live utamuacha mumeo cheusi coz huwa inanibidi nivae miwani ili kepusha hili balaaaaaaaa!!
Unamaanisha "macho" au "jicho"?Likoje?