NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ndo hilo hapo langu nafkiri ndio ulilolipenda we jana usiku au nazua??
la upole likoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
la upole likoje?
Jicho kungu 🙂
Kumbe ukila Kungu ndo unakuwa na jicho la mahaba ...?
ndo hilo hapo langu nafkiri ndio ulilolipenda we jana usiku au nazua??
umejuaje weye?
lalegalega kuanguka mwenzangu.kama mke kama mume aduaa kama kachomwa msumari,,mana ayakaza umfahamu kama kakudondokea..
hUONI MAKENGEZA YAKE YANAVOWAKAWAKA...?!!kwa hiyo la kinyonga pia ni la mahaba?coz kinyonga hodari wa kulizungusha.
KAMA LA nYAU...!Likoje?
KAMA LA nYAU...!
mh, wewe mtanga,mmombasa au mzenj, maana kiswahili chako chaleta tafrani kidogo
akudanganya huyo usije ukala pleaseee i am begging u please do not try that !!
Kungu zina madhara gani Nilham? hebu nambie kabla sija-trythis @ home
Kungu zina madhara gani Nilham? hebu nambie kabla sija-trythis @ home
hebu nijuze rafiki sikatai kufunzwa wajua zamani tumeondoka nyumbani..tuko huku ughaibuni almost 25 good yeas now..sasa kasoro zitakuako tuu!!!wapi nimeleta utata?
hapana yaani kimenivutia sina maana kuwa ni kibovu ,nisamehe ndugu yangu
its ok!!!! basi nipe hongera..ulikuwa ushantia wasiwasi nakusubiri unijibu,,,no problem i 'll improve it to b better than...inshallah..