Jicho la mahaba

Jicho la mahaba

lalegalega kuanguka mwenzangu.kama mke kama mume aduaa kama kachomwa msumari,,mana ayakaza umfahamu kama kakudondokea..

mh, wewe mtanga,mmombasa au mzenj, maana kiswahili chako chaleta tafrani kidogo
 
hebu nijuze rafiki sikatai kufunzwa wajua zamani tumeondoka nyumbani..tuko huku ughaibuni almost 25 good yeas now..sasa kasoro zitakuako tuu!!!wapi nimeleta utata?
mh, wewe mtanga,mmombasa au mzenj, maana kiswahili chako chaleta tafrani kidogo
 
moz-screenshot-4.png

moz-screenshot-1.png
moz-screenshot-2.png
moz-screenshot-3.png
 

Attachments

  • MAHABA..jpg
    MAHABA..jpg
    12.4 KB · Views: 65
fl1 kimbia haraka uje kuona jicho la kungu na madhara yake usikimbie uwapi kaka kimey kamleta hapa mmoja sijui kamdondoa api??,,,nijulishe utakula au huli???
Kungu zina madhara gani Nilham? hebu nambie kabla sija-trythis @ home
 
hebu nijuze rafiki sikatai kufunzwa wajua zamani tumeondoka nyumbani..tuko huku ughaibuni almost 25 good yeas now..sasa kasoro zitakuako tuu!!!wapi nimeleta utata?

hapana yaani kimenivutia sina maana kuwa ni kibovu ,nisamehe ndugu yangu
 
its ok!!!! basi nipe hongera..ulikuwa ushantia wasiwasi nakusubiri unijibu,,,no problem i 'll improve it to b better than...inshallah..
hapana yaani kimenivutia sina maana kuwa ni kibovu ,nisamehe ndugu yangu
 
its ok!!!! basi nipe hongera..ulikuwa ushantia wasiwasi nakusubiri unijibu,,,no problem i 'll improve it to b better than...inshallah..

uckiimprove kilichonivutia ni hiyo lahaja ya kipwani maana yanipa raha mie, ushanifahamu ati Nilham
 
Back
Top Bottom