Jicho la tatu la tukio la Harmonize Mkapa stadium

Jicho la tatu la tukio la Harmonize Mkapa stadium

Post za kijinga jinga JF zilianza pale watoto walipoanza kumiliki simu
Ulikua Ni mtazamo wakufikirika mkuu
Watoto hucheza na watoto wenzao
Karibu tuendelee
 
Harmonize angeupload video aliyoangua na kuandika kichwa cha habari "Jinsi nilivyoanguka uwanja wa taifa siku ya wananchi" ,angekula sana hela za views
 
Harmonize angeupload video aliyoangua na kuandika kichwa cha habari "Jinsi nilivyoanguka uwanja wa taifa siku ya wananchi" ,angekula sana hela za views
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wanaosema historia ni mwalimu hawajakosea kwan kipind Diamond anatengeneza kesho yake (leo) kweny muziki wake, wajanja km kawaida yetu tulimcheka na kumwita majina mengi km domo, anajifanya, anaringa, yule mtoto ana sifa sifa, eti nae ana mabodigadi, eti nae anafanya show kwa mamilion kwa mziki gan, eti, eti, eti, eti kibaooooo mwishoe kawa mjanja yeye na Tajiri kawa yeye sisi tumebaki pale pale, tunarudia tena kwa Konde boy.
 
Back
Top Bottom