Jicho la Tatu: Upo uwezekano Rais anashauriwa vibaya

Jicho la Tatu: Upo uwezekano Rais anashauriwa vibaya

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.

Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.

Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.

Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile.

Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.

Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia.

Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...

Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
Daah umeandika ukiwa unakimbia
 
Daah umeandika ukiwa unakimbia
Alikuwa mbio hatari miksa na sarakasi🏃‍♂️‍➡️🏃‍♂️‍➡️🏃‍♂️‍➡️🏃‍♀️🏃‍♀️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
 
Rais alifariki miaka mi3 iliyopita, huyu wa sasa ni mfano wa rais!.
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
Ingawa unaandika huku unatetema,swali;Ben Saanane yuko wapi?
 
ww unajua leo, humu tumeongea since 2022. siku hizi kaimprove sana. pia hoja hazina tija. dollars sio hoja muhimu.
 
Mkuu wa taifa alishafariki, huenda tukapata mwingine next Yr, hii miaka mitatu tupo kwenye free ride/autopilot.
 
Dollar Vs. Paperless currency
Hivi Tanzania tupo ulimwengu wa ngapi, mbona mambo haya hatuyafahamu kwa kina?
 
Maskini ya Mungu Rais wangu nilimpenda kutokana na uadilifu na uzalendo wake kwa Taifa hili, lakini wahuni wakampenda zaidi.
Ona sasa mambo yanaenda shaghalabaghala utafikiri ni ndege iko kwenye "auto pilot mode"!!
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
NIKIKUMBUKA MALAWI YULE RAISI MWANAMKE,NIKIKUMBUKA MYANMAR NA N.K ILA NDIO CHANZO CHA KUVURUGA NCHI
 
Dollar kuuzwa kwenye black market ni kweli . Nashaangaa serikali inasema ina upungufu wa dollar wakati vijana kwenye hivi vi microfinance vidogo vidogo vya mtaani wana dollar wanaziuza .
 
Back
Top Bottom