Jicho la Tatu: Upo uwezekano Rais anashauriwa vibaya

Jicho la Tatu: Upo uwezekano Rais anashauriwa vibaya

SAMIA anahusikaje??
Alishawaambia yeye hausiki iulizeni taasisi yeye hayamuhusu hayo muiulize taasisi, hivi lini kutakua na mdahalo rais na taasisi anayoifanyia kazi ndio taasisi anayoifanyia kazi wakadungwa maswali na Wananchi?

Next
 
Hashauriwi vby, uwezo wake ndo mdogo!.
Ukiwa na uwezo mkubwa wa kuchanganua masuala ukipewa ushauri wa kijinga unaupiga chini huwezi kuuchukua!.
Na hao washauri wenyewe unawapiga chini vilevile!
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
Acha uchonganishi...
 
Nadhani umekimbilia kuandika hoja nzito bila kushirikisha ubongo.

Suala la kushauriwa vibaya halipo,uwezo binafsi ndio hoja kuu.
Naunga mkono hoja. Hata ushauriwe vipi! Ila kama uwezo wako ni mdogo kwenye kila kitu; hapo itakuwa ni sawa tu na kutwanga maji kwenye kinu.

Kimsingi haya mambo ya uongozi yanawahitaji Golden Boys kama wafanyavyo wenzetu wazungu. Na siyo haya ma - Iron Boys yetu yaliyosoma elimu ya kuunga unga.
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
Kauli ya Kikwete uchaguzi 2025 CCM haitaweka mgombea mwingine wa Urais, labda mambo yaharibike.
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.
Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo usd hamna na inuzwa Black Market kwa bei yakufuru. Wakati tsh ikishuka thamani.
Pili swala la siasa za dunia wajanja wakaona fursa mwenda zake alijifungia sana nchi inapesa ikulu kwani aliifanya Mali ya baba tuanzie USA. Wakijuwa kabisa CIA ni zaidi ya vile wanaijuwa na kwenda USA nikama walienda mtelekeza nakuishia onana na makamo wa Rais xaidi siandiki.
Walivyo ona USA mambo hayakuwa poa wakampeleka kwa wajomba na nchi za kiarabu. Ndugai akachungulia miaka hamsini ya Tz akajilipua haraka sana akajiuzulu aka pewa kazi mkiristo wakweli ambae naamini siku ya mwisho Mungu atamwambia ulinipenda ila uliniuza kwa vipande vya pesa pale nilikupa nafasi. Julie haki ya Mpina nani anataka kuikwapua? Nadhani hata Hayati Magufuli anglia haamini twigs anakula majani aliokataza wasile. Nadhani baba wa Taifa anatamani kufufuka am Chapel makofi bungeni chini yake ana stamp tanganyika kwa mihuru wa jamuhuri.
Sakata la sukari ni zaidi ya tujuwavyo. Kama hoja za mzalendo zitasimamiwa Richmond cha Mtoto. Naomba mkajiulize hizo mandola walilipana kuleta mzigo wa tani 400k kama vilification nine mpaka kigoma. Hapa kuna itakatishaji pesaro nyuma ya paxia. Ina maana humour bungeni watafyekana, bot watafyekanA mwisho baraza lote.... hoja yahuyu jamaa ni nzito ndio maana kiti kinahema...... aka hakuna ambaye hahaha.... tis s wariporty direct ikulu tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
HUU MWANDIKO HAUJAKOSEA BALI KUNA CODE UMEFUNGA NDANI YA INNER VAULT ILA KWA FAIDA YA WOTE NAIFUNGUA
"Kauli ya Kikwete uchaguzi 2025 CCM haitaweka mgombea mwingine wa Urais, labda mambo yaharibike".
 
Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya.

Tanguy kuwepo Tz...
Walamba asali mitano tena ila hawajuwi kile kitatokea.. mitano tena jamani
Mkuu TumainiEl , kwanza naunga mkono hoja, rais wetu ni kweli kabisa, kuna vitu vingi tuu anashauriwa vibaya kwenye baadhi ya maeneo, kwa vile na yeye sio malaika ajue kila kitu, nashauri ukiona rais ameshauriwa vibaya kwenye eneo fulani,
1. Hatua ya kwanza ni funguka kuwa hapa kwenye hili, Rais wetu unadanganywa.
2. Onyesha jinsi anavyoshauriwa vibaya.
3. Toa ushauri kwa ku suggest the right thing to do
4. Taja madhara au matokeo ya rais kuendelea na kuupokea ushauri huo mbaya na kutaja the consequences za rais wetu kupuuza solution yako to the problem.

Ili muda wa kumtathimini ukifika, tumpime kwa matokeo chanya, zikitokea zile consequences za kupuuza solution yako to the problem, then tunakuwa hatuna jinsi ni kumtundika tuu msalabani, kwasababu there will be no excuse kuwa alishauriwa vibaya kwasababu aliambiwa, akashauriwa the right thing, akapuuza, hivyo ni lazima tuu aubebe huo msalaba.

Tupunguze kulalamika kuwa rais anashauriwa vibaya, tuonyeshe hapo anaposhauriwa vibaya, ili na yeye apaone, tutoe ushauri wa the right thing to do, kisha tumuachie mwenyewe kuamua, kisha tuje kumhukumu kwa matokeo.

P
 
Nahisi huwa unaandika vibaya vibaya kwa makusudi ili kuficha utambulisho wako halisi.

But my friend if they want to know who you are, they will know. Safe assumption ni kuamini kuwa wanajua kila kitu, kisha tafuta namna ya kuwa salama.
 
Nahisi huwa unaandika vibaya vibaya kwa makusudi ili kuficha utambulisho wako halisi.

But my friend if they want to know who you are, they will know. Safe assumption ni kuamini kuwa wanajua kila kitu, kisha tafuta namna ya kuwa salama.
Sasa hata wakimjua kuna shida gani wakati yeye katoa ushauri kwa Rais wake awe macho na wale wanaomsgauri?
 
Nadhani umekimbilia kuandika hoja nzito bila kushirikisha ubongo.

Suala la kushauriwa vibaya halipo,uwezo binafsi ndio hoja kuu.
Tunaomfatilia huyu jamaa posts zake huwa tunazipa uzito.
 
Duh, kudadeki, nimesoma mara kumi sikuona wpi rais kashauriwa
Yaani sikuelewa chichote, na hiho lugha ni kiswahili cha wapi? Au ndio mseto? Hahahahaah
 
Tatizo nchi hii hakuna aliye msafi, kila mtu mwizi. Akipata upenyo tu anakwapua Kwa nguvu au kalamu.

Yaani watu wote ni wa deal deal tu. Na ndio tulivyokuzwa kutokujemimea maovu kisa tutaharibia watu na sisi tusije haribiwa nafasi ikipatikana.
 
Ukweli ni kwamba wahuni wanamharibia ili wapitishe mtu wao 2025,ndio maana ya maneno haya*labda mambo yaharibike sana"

Nilishaona zamani sana hili!!

Naamini the state watampitisha anaefaa Mambo yakiharibika sana kama inavyoanza kuonekana kwa tuhuma mbali mbali !!
 
Back
Top Bottom