Jicho Pevu yaangazia saa kumi na mbili za mwisho za mwendazake Jacob Juma

Natamani tupate waandishi Watanzania wa kaliba ya huyu jamaa wa jicho pevu!!
Kwa tz itakuwa ngumu kidogo, maana jamaa mmoja hivi nahisi hv sasa n msemaje wa timu ya wasukuma gozi tz alianza na investigation story kwa traffic wala rushwa but nini kilimtokea?
 
Tatizo sio Muro....je ni kituo gani cha TV kipo tayari kurusha kipindi kama hicho.

Muro amenukuliwa Mara nyingi kuwa yeye yupo tayari hata leo ila tatizo ni wamilikiwa wa vituo vya TV.....humwambia hawataki matatizo Na serikali.!


ndo ubaya kila mtu anataka.atajirike kupitia serikal hakuna alie jasiri
 
jamani jicho pevu ni ya wapi? na huyo mwandishi ni wa wapi?,
 
natamani huyo jamaa wa jicho pevu akuje hapa tz ili nione kama ataweza kuifanya kazi yake vema
 
Huyu akija afatilia pembe za ndovu
 
Guys still watch that loose Canon for hire?
 
Atamwagiwa tindikali maana huku kuna miungu watu hawataki kukosolewa kbs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…