Jide ahamia Ujerumani

Jide ahamia Ujerumani

Diamond angeshakimbia we sema anayempenda (wema) yuko hapa TZ kwa hiyo kijana wa Tandale hawezi toroka. Nikirudi kwa huyo Jide ni kuwa kwa sasa ana mawazo sana hivyo watu wake wa karibu wajitahidi kumfariji. Maumivu ya kuachwa/kuacha/kuachana/kuachanishwa ni makali sana hayana mfano.

Hayajawahi kukuta ww ndugu mtu kujitenga na kuwa mbali kunamsaidia coz wabongo baadhi yetu tuna roho mbaya sna kili kukicha majungu na kufurahia matatizo ya wenzetu! Namuunga mkono Jide kaa mbali na wanafiki na wasiopenda kuona mtu akipata, wakt wa raha kila mtu ni rafiki yakikukuta wanakukimbia na kukusengenya kajipumzishe Jide na jipange kivingine
 
mtu anaishi hotelini ujerumani mnasema amefulia? mnajua gharama za kuishi kwenye hoteli ujerumani? labda awe anadanganya
Hotelini my foot. Labda anakaa kwenye bed & breakfast anasema hotelini. Maana wabongo hata kwa mama ntilie wanaita hoteli
 
Vipi, kama ni mwanaume mwenzangu maana yake nimponde au humu wote wanaosifiana ni wa jinsia tofauti ukiwa ni wa jinsia moja haurusiwi ?????
Mnasifu mnooo!
Unajua mno!!!
 
Back
Top Bottom