reg
Senior Member
- Apr 7, 2014
- 176
- 97
Ukianza kufuatilia nyimbo zake utagindua huyu mama alijua wazi kwamba hawezi kuishi na captain. Angalia kwa mfano wimbo wake ule 'nani wa kunifuta machozi umeondoka umeenda mbali' kaeleza haya yalotokea na kweli jamaa limeondoka liko mbali sasa! Pili angalia 'wanaume kama mabinti' sasa jamaa naskia anataka mgawo wake! Angalia pia ule wa 'commando binti machozi' alijua hilo!
Nirudi kwa hawa wengine ntataja wachache tu maana napata wali maharage hapa baada ya kuhangaishana na kuku wangu kwenye chanjo!
1. Nature: majina mia kidogo mara kibla mara kiroboto....ona sasa alivyoisha kimtindo. Maana kibla ni kifo na kiroboto dawa yake inajulikana maana ni msumbufu.
2. Prof J: anapenda sana kujitanabaisha kama kiongozi na mzalendo tangu mwanzo kabisa ingawa na yeye hakuficha hisia za mapenzi! Sasa katendwa na hatapenda tena na hivi sasa naskia anataka ubunge! Si mmeona ' ndio mzee'
3. Chid Benz: tangu mwanzo uvaaji wake na manyimbo yake ya kufokafoka kukifanananisha na wanyamwezi kwa kila kitu! Unajua nini kimempata!
4. Belle 9 na Mad ice: tabia yao ya kurembua sauti na unyonge na manyimbo yao ya mapenzi si mmeona? Wote wanahangaika na my wife wao!
5. Mh. Temba: muonekano mavazi na pini zake utaona jamaa anapenda sana misosi na kujiachia! Ndo maana kawahi mno kuvuta jiko ingawa linajuta kuolewa na selebrite dizaini ya Temba, maana jamaa kutwa kucha ni kujimwaga tu!
6. Mr. II alias Sugu: toka mwanzo jamaa lilikuwa linatetea wanyonge tu, kumbuka dizaini ya kama " ipo siku tutaandamana hadi kwa rais tukamweleze hali halisi" hii ilikuwa miaka ya 2000s mwanzoni, sasa jamaa kaibuka kweli bungeni! Kumbuka vizuri wimbo wake wa "hali halisi"
7. Ndomo: yeye pini zake zote ama kusifia madem ama kulalama katendwa! Vaa yake kama mkongo man na kupaka lipstiki kila dem anamuacha, wengine wamemchoka wameamua kudendana na yeye akiona! Jamaa hana dem hadi Leo maana haeleweki!
8. Dully Sykes: tabia yake ya kupenda misifa kaamua kuihamishia kwenye muziki! Jamaa ni kweli anajishebedua sana! Na je uliona wapi lijali ukawa na marafiki warembo kila kona ya mji? Funguka!
9. Blue: tabia ya kupenda makuu na kujiona anazo toka kitambo tu! Wote mmeona anavyojiachia in real life, naskia katika umri huu wake mdogo kishachapa akina onyinye wa bongo kibao tu!
Ongezeeni ila usimpendelee MTU!
Mods, naomba uzi huu msiunganishe na ule wa Jide huu unazaidi ya ujumbe.
Pangu Pakavu.
Hapo umeangalia ya wengine ndyo unaona umewaweza. Duh! Yako mwnyw nahs yanakushinda, kijana fata yko..maswala ya jide kuachika ww yanakuhsu nn, kwan ww ulmpelekwa kwa captain
Ts non of ur bizness...nadhani umenielewa.