Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
...teh hee hee...jifunze kurespond badala ya kureact;We nawe umefufuka toka wapi
Hata ungefanya nimeshindwa hainisaidii for as long naamini kuzaa hakuzeeshi kama watu wanavyolitumia hilo neno kuhusianisha muonekano wa jide na kuzaa...teh hee hee...jifunze kurespond badala ya kureact;
..au basi tufanye umeshinda!
.mmmmwaah!
Sio kweli j lo amezaa tena mapacha ila ukimuangalia bado mpyaaaa zingine njaa tu, mpeni jide heshima yake she is a survivor tafuta generation yake uwaone!Kwa vipi...? Kwani hujui kuchoka (kuchuja) ama kuchakaa kwa dada/mama zetu ni pamoja na Matokeo ya kubeba ujauzito kisha kuzaa..?
Kwani kuingia leba ndo kuzeeka?
Zari kaingia mara tano yupo hot, Hamisa mara mbili yupo hot, wema hajaingia hata mara moja kachoka kazeeka imebaki nguvu ya make up