hahahaahahah inabidi nicheke soon tutaipoteza hiyo clouds FM sooon tutaipoteza watu weshajua ukweli mtupu.sasa nyie wasanioii mnaonyonywa njia nyeupe sasa wakongwe weshafungua nakukata mizizi ya wanyonyaji ruge na kusaga heheeheh kama ni mie ningekula inye yangu walahi