hahahaahahah inabidi nicheke soon tutaipoteza hiyo clouds FM sooon tutaipoteza watu weshajua ukweli mtupu.sasa nyie wasanioii mnaonyonywa njia nyeupe sasa wakongwe weshafungua nakukata mizizi ya wanyonyaji ruge na kusaga heheeheh kama ni mie ningekula inye yangu walahi
Kwa nia njema Clouds itabidi wafate upepo unakovuma.Watu wengi wamechukizwa na kiburi chao.
Biashara yao inategemea public lazima wajifunze adabu kwa public pia.
Nilidhani Kumtetea Jide Kungeishia kwenye Maneno tu!!! Stay alive Jide & Congratulation. Mbio za kupokezana vijiti ni Principal ya clouds wasitake kukukatisha tamaa as if wao ndo uma wa watanzania.
WebRep
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.