Jide: Mimi na Gadner ni kama Kaka na Dada

Zaidi ya kujipachika majina ya watu eti sasa hv anataka aitwe Dangote na wkt anaishi na mama yake nyumba ya kupanga,yule mwenzake eti anajiita "MY SHOES‘’

Hahaaa eti bado anajenga mpaka tofali zitaoza nyumba bado jaijaisha
 
Sio akina Mr. n Mrs ubaya wale wamezidi kujishaua mitandaoni sa Sijui wana mrusha roho Nani yani utafikir wao ndo wana sehemu za siri peke yao yaani

Una akili ya ziada
 
Una akili ya ziada

Wema na ndomo wangekuwa ndo wenyewe wana mbo na k, mbona tungekoma apa mujini. Hawajui kuwa wanavyofanya hao na sisi tunafanya hivyo hivyo , sasa Sijui wanamlingishia nani..
 
Zaidi ya kujipachika majina ya watu eti sasa hv anataka aitwe Dangote na wkt anaishi na mama yake nyumba ya kupanga,yule mwenzake eti anajiita "MY SHOES‘’

"MY SHOES‘’ anajikuta anaishi New York kumbe yuko apa apa bongo da kazi kweli kweli
 
wanasema mkikua mtaacha
 
Wema na ndomo wangekuwa ndo wenyewe wana mbo na k, mbona tungekoma apa mujini. Hawajui kuwa wanavyofanya hao na sisi tunafanya hivyo hivyo , sasa Sijui wanamlingishia nani..
Teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…