warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Global ni noma niliwapaga stori kuja kutoka kwenye gazeti wameshaongeza mambo kibao sikuwaambia wameokoteza picha sijui wapi eti ndio tukio lilivyooo
Na mimi nakumbuka kuna kipindi walichukua habar humu wakasema chanzo kilichokaribu na staa huyo kimesema wakat habar walitoa humu, yan global waongo hakuna cha chanz wala nn wanatunga wenyew
