Global ni noma niliwapaga stori kuja kutoka kwenye gazeti wameshaongeza mambo kibao sikuwaambia wameokoteza picha sijui wapi eti ndio tukio lilivyooo
BInamu nilikuwaje busy leo
Bina naangalia TMT kale katoto kameshinda milion 50
kumbe jaydee anabofya tecno au ni huawei hii????
Dada jide kaandika huyooo jamani
Global punguzeni aiseeee
Dada jide kaandika huyooo jamani
Global punguzeni aiseeee
Hivi mawakili wote hawa mjini wanashindwa kuwatumia watu wanaoandikwa uongo ili hao global wakome? Waacheni jamaa wapige kazi bwana, mnasema wanaandika uongo lakini mnanunua, ni sawa na wale jamaa wanaoidis clouds lakini kutwa wanasikiliza vipindi vyao
Kuna kila sababu ya kuwa sue global has a mhariri was hilo gazeti kama kweli wahusika wanaumizwa!
Mi nawashangaa kwanini wizara ya habari inawalea sana Global kwa kudhalilisha watu? Kwanini wasiandike ukweli?