Jide na Gadner, sasa ivi kama paka na panya

na mi sijaelewa hapo.........

Nyasamaki arudi apa atufafsnulie, au ndo hatak kurudi kwake kwa kuwa anajua atammis mumewe, maana mazingira pia yangemtesa labda kaamua kuishi maisha mapya na sehemu mpya, sasa lile lijumba atapanga au? Mmh si nilisikia eti anafuga nyoka? Kama kweli basi litaozeana tu hakuna atakayepanga mule
 
Last edited by a moderator:

Huyo G anywe dawa ya kuacha kupenda penda k maana nao ni ugonjwa,
Ila ndio hivyo wagombanao ndio wapatanao
 
Jide anapanga nyumba mpya au nani??


Kahamia nyumba Mpya Masaki sasa sijui kapanga au kanunua ! kasema anataka kuwa karibu na shughuli zake mjini ...Warumi hujui hata wewe tena tunaokutegemea mau- mbeya ?
 

Warumi usiwe unakosa kipindi cha Diary na wewe kila jumapili EATV saa tatu ....Bonge la Nyumba ila used sasa sijui yake au kapanga , ndio alikuwa anapanga vitu vyake
 
Kahamia nyumba Mpya Masaki sasa sijui kapanga au kanunua ! kasema anataka kuwa karibu na shughuli zake mjini ...Warumi hujui hata wewe tena tunaokutegemea mau- mbeya ?

Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??
 
Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??

Si na ile ni yake au kaichukia mpaka nyumba hhhhaaaa
 
Warumi usiwe unakosa kipindi cha Diary na wewe kila jumapili EATV saa tatu ....Bonge la Nyumba ila used sasa sijui yake au kapanga , ndio alikuwa anapanga vitu vyake

Itakuwa kanunua maana nilisikia izo tetesi mda sana
 
 
Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??

Waliionyesha Bonge la Nyumba na Bonge la Ukuta , Bonge la Geti ...Naona kaamua kuanza kwenye mazingira mapya ili kumbukumbu za G zisimsumbue ( hili ni hisia zangu mimi )
 
 
Waliionyesha Bonge la Nyumba na Bonge la Ukuta , Bonge la Geti ...Naona kaamua kuanza kwenye mazingira mapya ili kumbukumbu za G zisimsumbue ( hili ni hisia zangu mimi )

Ni hisia za kawaida tu, ni kweli asingeweza kukaa kule mbezi mjumba wote ule peke yake wakati alizoea kuishi na mumewe ni dhahiri angemmis tu ata angekuwa nani so labda kaamua kubadili mazingira mapya azoee bila gadner

Itakuwa kanunua tu maana hawezi kuacha nyumba yake mbezi halafu akapange masaki maana kule kupanga nyumba ni bei mbaya halafu kama ulivyosema nyumba yenyewe ya haja si itakuwa balaa kodi yake, atakuwa kanunua, kwani kwenye diary hakusema kuwa kanunua au kapanga?
 
 

Hakusema kama kanunua
 
Acheni masikhara kuwa na nyumba masaki achilia mbali kiwanja..

~Bei za viwanja vya masaki mnaijua? Bosi wake wa zamani Joe Kusaga hana nyumba masaki itakuja kuwa jide?

~Labda maigizo tu ya Diary jumba kubwa kama ilo price yake per month si chini ya $5,000 mara 12 =60,000$=100millions Tsh.
 
Je alisema kama kapanga??

Hakusema kapanga pia alikuwa busy na mafundi rangi na marekebisho mengineyo ....hata kama kapanga pale basi analipa Mamilioni , aliongelea hatapenda tena rangi nyekundu kama kimara anabadilisha ,
 

Never Say Never ....Jay Dee hajaanza leo wala jana ! kama si mfujaji pesa anayo sana tu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…