Jide na Gadner, sasa ivi kama paka na panya

Jide na Gadner, sasa ivi kama paka na panya

na mi sijaelewa hapo.........

Nyasamaki arudi apa atufafsnulie, au ndo hatak kurudi kwake kwa kuwa anajua atammis mumewe, maana mazingira pia yangemtesa labda kaamua kuishi maisha mapya na sehemu mpya, sasa lile lijumba atapanga au? Mmh si nilisikia eti anafuga nyoka? Kama kweli basi litaozeana tu hakuna atakayepanga mule
 
Last edited by a moderator:
Jide hatakagi ujinga yule, ila jamaa hanaga shida kabisa ni mpole mno sema kwa kupenda papuchi sasa ajambo

Naona jide siku izi yupo na wancy model, wanapendana na wenyewe maana watu waliwachamba sana pale nyumbani lounge ila bado wenyew wanapendana kama mtu na dada yake

Huyo G anywe dawa ya kuacha kupenda penda k maana nao ni ugonjwa,
Ila ndio hivyo wagombanao ndio wapatanao
 
Jide anapanga nyumba mpya au nani??


Kahamia nyumba Mpya Masaki sasa sijui kapanga au kanunua ! kasema anataka kuwa karibu na shughuli zake mjini ...Warumi hujui hata wewe tena tunaokutegemea mau- mbeya ?
 
Nyasamaki arudi apa atufafsnulie, au ndo hatak kurudi kwake kwa kuwa anajua atammis mumewe, maana mazingira pia yangemtesa labda kaamua kuishi maisha mapya na sehemu mpya, sasa lile lijumba atapanga au? Mmh si nilisikia eti anafuga nyoka? Kama kweli basi litaozeana tu hakuna atakayepanga mule

Warumi usiwe unakosa kipindi cha Diary na wewe kila jumapili EATV saa tatu ....Bonge la Nyumba ila used sasa sijui yake au kapanga , ndio alikuwa anapanga vitu vyake
 
Kahamia nyumba Mpya Masaki sasa sijui kapanga au kanunua ! kasema anataka kuwa karibu na shughuli zake mjini ...Warumi hujui hata wewe tena tunaokutegemea mau- mbeya ?

Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??
 
Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??

Si na ile ni yake au kaichukia mpaka nyumba hhhhaaaa
 
Warumi usiwe unakosa kipindi cha Diary na wewe kila jumapili EATV saa tatu ....Bonge la Nyumba ila used sasa sijui yake au kapanga , ndio alikuwa anapanga vitu vyake

Itakuwa kanunua maana nilisikia izo tetesi mda sana
 
Itakuwa kanunua maana nilisikia izo tetesi mda sana[/QU

anaigiza tu, hela anayo lakini ya kununua masaki binamu, bado sana.

Kupanga kwenyew kule ni ishue binamu mpunga wake mnene, ila kwa huyu bibie kama kaweza kuporomosha mgahawa ule pale kinondoni mjini penye bei mbaya sidhan kama kule masaki atashindwa, jide yupo makini sana na mambo yake, inawezekana ikawa kweli, ila mtu kama shilole ungeniambia kanunua masaki kwa kweli ningebisha hadi hasubuhi
 
Kama masaki uko kajenga best,nilisikia zamani kidogo, siangaliagi diary binamu, dah kweli jide nyoko yule, atakuwa ndio msanii wa kwanza TZ kuishi ushuani, safi sana kamanda jide, kwa hiyo walionyesha hadi nyumba yenyewe??

Waliionyesha Bonge la Nyumba na Bonge la Ukuta , Bonge la Geti ...Naona kaamua kuanza kwenye mazingira mapya ili kumbukumbu za G zisimsumbue ( hili ni hisia zangu mimi )
 
Kupanga kwenyew kule ni ishue binamu mpunga wake mnene, ila kwa huyu bibie kama kaweza kuporomosha mgahawa ule pale kinondoni mjini penye bei mbaya sidhan kama kule masaki atashindwa, jide yupo makini sana na mambo yake, inawezekana ikawa kweli, ila mtu kama shilole ungeniambia kanunua masaki kwa kweli ningebisha hadi hasubuhi

Hakuna kitu binamu,wanaigiza mradi apate cha kuonyesha kwenye diary hakuna kitu, hata huko kuachana ni maigizo ili kuongeza idadi ya watazamaji maana diary ilianza kudorola anaaza kuwa kama kina fulani kutengeneza skendo
.
 
Waliionyesha Bonge la Nyumba na Bonge la Ukuta , Bonge la Geti ...Naona kaamua kuanza kwenye mazingira mapya ili kumbukumbu za G zisimsumbue ( hili ni hisia zangu mimi )

Ni hisia za kawaida tu, ni kweli asingeweza kukaa kule mbezi mjumba wote ule peke yake wakati alizoea kuishi na mumewe ni dhahiri angemmis tu ata angekuwa nani so labda kaamua kubadili mazingira mapya azoee bila gadner

Itakuwa kanunua tu maana hawezi kuacha nyumba yake mbezi halafu akapange masaki maana kule kupanga nyumba ni bei mbaya halafu kama ulivyosema nyumba yenyewe ya haja si itakuwa balaa kodi yake, atakuwa kanunua, kwani kwenye diary hakusema kuwa kanunua au kapanga?
 
Hakuna kitu binamu,wanaigiza mradi apate cha kuonyesha kwenye diary hakuna kitu, hata huko kuachana ni maigizo ili kuongeza idadi ya watazamaji maana diary ilianza kudorola anaaza kuwa kama kina fulani kutengeneza skendo
.

Inawezekana kabisa, maana bibie kimuziki hayupo sana so huenda anajaribu kutafuta kick ili azidi kuwa juu, japokuwa hili sina uhakika nalo

Sasa binamu kama mtu kajenga mgahawa wa bei mbaya pale moroco, atashindwa kununua nyumba masaki? Sidhani kama inashindakana, bibie yupo vizur financially yule, haina ubishi jide mpunga anao bwana, kwa msanii wa kawaida kuishi hotel yenye hadhi kwa mwezi si mchezo binamu, wasanii wengi hotel kubwa wanaishia kufanyia shooting au kukaa siku mbili tena kwa kulipiwa ila jide anajiweza tuongee mengine tu
 
Ni hisia za kawaida tu, ni kweli asingeweza kukaa kule mbezi mjumba wote ule peke yake wakati alizoea kuishi na mumewe ni dhahiri angemmis tu ata angekuwa nani so labda kaamua kubadili mazingira mapya azoee bila gadner

Itakuwa kanunua tu maana hawezi kuacha nyumba yake mbezi halafu akapange masaki maana kule kupanga nyumba ni bei mbaya halafu kama ulivyosema nyumba yenyewe ya haja si itakuwa balaa kodi yake, atakuwa kanunua, kwani kwenye diary hakusema kuwa kanunua au kapanga?

Hakusema kama kanunua
 
Acheni masikhara kuwa na nyumba masaki achilia mbali kiwanja..

~Bei za viwanja vya masaki mnaijua? Bosi wake wa zamani Joe Kusaga hana nyumba masaki itakuja kuwa jide?

~Labda maigizo tu ya Diary jumba kubwa kama ilo price yake per month si chini ya $5,000 mara 12 =60,000$=100millions Tsh.
 
Je alisema kama kapanga??

Hakusema kapanga pia alikuwa busy na mafundi rangi na marekebisho mengineyo ....hata kama kapanga pale basi analipa Mamilioni , aliongelea hatapenda tena rangi nyekundu kama kimara anabadilisha ,
 
Acheni masikhara kuwa na nyumba masaki achilia mbali kiwanja..

~Bei za viwanja vya masaki mnaijua? Bosi wake wa zamani Joe Kusaga hana nyumba masaki itakuja kuwa jide?

~Labda maigizo tu ya Diary jumba kubwa kama ilo price yake per month si chini ya $5,000 mara 12 =60,000$=100millions Tsh.

Never Say Never ....Jay Dee hajaanza leo wala jana ! kama si mfujaji pesa anayo sana tu ,
 
Back
Top Bottom