warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
na mi sijaelewa hapo.........
Nyasamaki arudi apa atufafsnulie, au ndo hatak kurudi kwake kwa kuwa anajua atammis mumewe, maana mazingira pia yangemtesa labda kaamua kuishi maisha mapya na sehemu mpya, sasa lile lijumba atapanga au? Mmh si nilisikia eti anafuga nyoka? Kama kweli basi litaozeana tu hakuna atakayepanga mule
Last edited by a moderator: