Mmmmmh[emoji849][emoji849]...but si mwanamuziki tena yuko na akina Flavour?Alichoka kumlea. Mwanaume anajua kuzungusha kiuno tu. Hata aagize maji hawezi kulipia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja nachekelea nikajua kweli, sasa hapo wapi wamerudiana?
Yule mwanamziki alienda fata fursa kwa Judy tuu.Mmmmmh[emoji849][emoji849]...but si mwanamuziki tena yuko na akina Flavour?
Sasa mbona mkojozaji nae ni marioo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua ila kukaa na mtu na kukojozwa 15 yrs hamuwezi kuachana kirahisi.
Mmh temea mate chini....mkojozaji hatoagi hata mia, salary yake inaishiaga kwenye gambe tu!...jide shahidi!Yule mwanamziki alienda fata fursa kwa Judy tuu.
Mkojozaji anae hela bwana japo Judy kamzidi ila hana njaa yule baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Amerudi KUKOJOZWA Tena baada ya Kuachana na Chilisosi,Tomato,Hiriki,mdalasini,karafuu?
NmekuelewaAmerudi KUKOJOZWA Tena baada ya Kuachana na Chilisosi,Tomato,Hiriki,mdalasini,karafuu?
Itakuwa....maana bidada kimyaaa, kama sio yeye!Ndio zao wale,wana timing kali sana,si ajabu kashamkausha jide wa watu masikini
Itakuwa....maana bidada kimyaaa, kama sio yeye!
Nasikia wapopo huwa hawafanyi mistake kwenye maisha!...former US presidaa Bush hana hamu nao![emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio
Mume alishirikiana na wezi wakaenda kumuibia vifaa vya gari ile murano badae watu wakamtonya kuwa gadna alihusika walipukutuisha vitu kama vya milioni ishirini hivi according to jaydee mwenyewe ikabidi afunge safari hadi uganda kufata spea mpyaMzigua90 hivi kisa cha kukosana na Clouds ni kipi wakati mumewe alikuwepo?
Kwani FA nae kapiga huyu demuIlikuwa FA ndo aliimbiwa
Kwani FA nae kapiga huyu demu