Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha hatarii
Ruge aliwatenganisha, hayupo sasa hakuna sababu ya kuendelea na bifu
kwani kulikuwa na ulazima kumtaja ruge katika uzi huuRuge aliwatenganisha, hayupo sasa hakuna sababu ya kuendelea na bifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yahaya aliimbiwa mwana fa sio gadnaHata ule wimbo wa YAHAYA aliimbwa gadna
Ahaaahaaahaa sio mchezoAlichoka kumlea. Mwanaume anajua kuzungusha kiuno tu. Hata aagize maji hawezi kulipia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau tumbaku ya taboraAmerudi KUKOJOZWA Tena baada ya Kuachana na Chilisosi,Tomato,Hiriki,mdalasini,karafuu?
Hmm sio napinga,ila.mbona yale mashairi hayaendani na Mwana fa wataalamu ???Yahaya aliimbiwa mwana fa sio gadna
From profile picture to proper future
Mzigua90 hivi kisa cha kukosana na Clouds ni kipi wakati mumewe alikuwepo?Siku nyingi tu.. toka mwaka Jana. Na marehemu Kibonde ndio alipambana sana mpaka hawa kurudiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sikumbuki ilikuaga niniMzigua90 hivi kisa cha kukosana na Clouds ni kipi wakati mumewe alikuwepo?
Kwahiyo alimtapeli akasepa?Wanaija huwa ni matapeli wanaotekeleza utapeli wao kwa ufanisi mkubwa bila kujali muda mrefu atakaopoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona wanajibishana insta...sijui jamaa anapiga picha na shemale, jide akamaind!
Halafu yule Kaka alikuwa anajifanya mpoole[emoji848]Wanigeria matapeli ndugu yng,lazima atakuwa kamlia pesa nyingi sana na kajisepesha
Haijawahi kutokea mangi na mjita wakawezana kwenye mahusianoVizuri , huyo G.Habash kumbe mangi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwahiyo official wamerudiana, pika nipakue?Siku nyingi tu.. toka mwaka Jana. Na marehemu Kibonde ndio alipambana sana mpaka hawa kurudiana
Sent using Jamii Forums mobile app