Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jambo dogo tuEbu Jifanye wewe ni mganga wa kienyeji nimekuja kwako Kuomba dawa inipatie Utajiri,
Nipe masharti yako tuone ni nani atakuwa mkali wa kutoa masharti magumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakagi hata kuwasikia hao watu na wala sijawahi kukanyaga huko, ila nasikiaga wana masharti ya kipumbavu sana.[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe utakuwa mdogo wake na mganga hapa hutoboi
kiongozi tu yeyote kisha lete mrejeshoKiongozi Gani mkuu
Haya maisha. 😀😀 Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakagi hata kuwasikia hao watu na wala sijawahi kukanyaga huko, ila nasikiaga wana masharti ya kipumbavu sana.
Kama nakuona hapo kwenye hivii ni kama umeshika kidole flani hiviHaya maisha. [emoji3][emoji3] Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii[emoji1787]
Wee bana wewe.😀😀Kama nakuona hapo kwenye hivii ni kama umeshika kidole flani hivi