Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipe Milion nne ya kuisumbua mizimu na kutugea shartiHaiwezekani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] washenzi sana waleEti mfupa wa mbu, au niletee kamasi za sisimizi sio poa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijawahi hata kufikiria aise, maana kule ndiyo unajiongezea nuksi na mikosi halafu bado unachokitaka hupati.Haya maisha. [emoji3][emoji3] Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii[emoji1787]
Kabisa yani. Wanakupa masharti ambayo wanajua hapa huchomoki.Sio poa mkuu wanajifanya hawataki kushindwa
Ndio sikutarajia pia kama kuna siku naweza kuja hata kuwaza. Yaani huwa inatokea tu ukibanwa.🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijawahi hata kufikiria aise, maana kule ndiyo unajiongezea nuksi na mikosi halafu bado unachokitaka hupati.
So tujiandae kuvuka boda kuyasaka maisha,maana tushalimia meno,tutalimia mapengo kabisaTufanye kazi wandugu, Msimu wa Pili wa uncle Magu una kuja na sio mwepesi! Acheni hizi Mbumba!
Hiv vinapatikana mbonaLeta nywele za mapacha waliokufa kabla hawajafanya mapenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio sikutarajia pia kama kuna siku naweza kuja hata kuwaza. Yaani huwa inatokea tu ukibanwa.[emoji1787][emoji1787]