Jifanye wewe ni mganga nimekuja kwako kuomba utajiri Nipe masharti yako tuone nani mkali

Jifanye wewe ni mganga nimekuja kwako kuomba utajiri Nipe masharti yako tuone nani mkali

Haya maisha. [emoji3][emoji3] Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijawahi hata kufikiria aise, maana kule ndiyo unajiongezea nuksi na mikosi halafu bado unachokitaka hupati.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijawahi hata kufikiria aise, maana kule ndiyo unajiongezea nuksi na mikosi halafu bado unachokitaka hupati.
Ndio sikutarajia pia kama kuna siku naweza kuja hata kuwaza. Yaani huwa inatokea tu ukibanwa.🤣🤣
 
Uuuuwww achiiiiii uwaaaaaa leta chozi la samaki baharini, achichiichiiiii leta kinyesi cha sisimizi uaawawawaaa malizia na kumpiga mbu kabali🤪🤕
 
Utapata utajiri wowote unaoutaka...ila utampikia popobawa chakula anachokitaka,Kisha akimaliza kula atakukula nawewe mpishi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom