Jifanye wewe ni mganga nimekuja kwako kuomba utajiri Nipe masharti yako tuone nani mkali

Ebu Jifanye wewe ni mganga wa kienyeji nimekuja kwako Kuomba dawa inipatie Utajiri,
Nipe masharti yako tuone ni nani atakuwa mkali wa kutoa masharti magumu.
jambo dogo tu
KAMLAMBE KINYEO KIONGOZI
Majibu hayachelewi mkuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe utakuwa mdogo wake na mganga hapa hutoboi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakagi hata kuwasikia hao watu na wala sijawahi kukanyaga huko, ila nasikiaga wana masharti ya kipumbavu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakagi hata kuwasikia hao watu na wala sijawahi kukanyaga huko, ila nasikiaga wana masharti ya kipumbavu sana.
Eti mfupa wa mbu, au niletee kamasi za sisimizi sio poa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakagi hata kuwasikia hao watu na wala sijawahi kukanyaga huko, ila nasikiaga wana masharti ya kipumbavu sana.
Haya maisha. 😀😀 Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii🤣
 
Haya maisha. [emoji3][emoji3] Hata walio wahi kwenda wengine hawakupenda ni yaliwakuta. Shida hizi kuna wakati niliwaza niende kwa mganga ni Mungu tu alinilinda na wazo hilo likatoweka. Yaani ilibaki hiviiii[emoji1787]
Kama nakuona hapo kwenye hivii ni kama umeshika kidole flani hivi
 
Wee bana wewe.[emoji3][emoji3]
Ndio maana nasemaga siwezi kuapia jambo lolote maisha ni fumbo.
We ni kama mimi hakuna haijuae kesho, sema tu kuna misimamo tu baadhi huwa tunajiwekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…