pachawako
Senior Member
- Mar 30, 2024
- 120
- 315
Mpende Mungu wako.
Usimpende mwanadamu zaidi ya mungu. Utu pekee unatosha, Upendo ni maradhi ya akili, jinsi unavyopenda zaidi ndo unavyopoteza nguvu ya asili ndani yako.
Tengeneza himaya yako.
Himaya yako ndo ulinzi wako, usipokua na himaya basi hii Dunia haitoacha kukufundisha somo la maumivu maana huo ni udhaifu. Ukisimamia himaya yako utapata watu wa kukutii na kutoka kwenye imaya kama yako.
Ead Mubarack🌙
Usimpende mwanadamu zaidi ya mungu. Utu pekee unatosha, Upendo ni maradhi ya akili, jinsi unavyopenda zaidi ndo unavyopoteza nguvu ya asili ndani yako.
Tengeneza himaya yako.
Himaya yako ndo ulinzi wako, usipokua na himaya basi hii Dunia haitoacha kukufundisha somo la maumivu maana huo ni udhaifu. Ukisimamia himaya yako utapata watu wa kukutii na kutoka kwenye imaya kama yako.
Ead Mubarack🌙