Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Mkuu samahani nina swali maana nimeona wewe unaijua Skrill vizuri. Nimetuma pesa kupitia skrill na mpokeaji ni account crdb, katika kujaza nilipoweka tu Tanzania ikaniletea list za bank za kuchagua nikachagua CRDB na kuweka akaunti inayopokea na jina la anayepokea lakini hakuna iliponitaka niweke SWIFT CODE na nikatuma hiyo pesa.
Haiwezi kusumbua, au wanajaza hizo code automatically wenyewe?
 
Hii fii sijaielewa ndugu...! Yaan kila unapolupia mtandaon bidhaa yoyote wanakata hiyo 22000/=?
 
Wakuu mambo vipi kama kuna mtu kashawahi fanya manunuzi kwenye mtandao wa 1688 akiwa Tanzania naomba msaada nimekwama sana.
 
Njia za malipo zipoje ? Hapa ndipo ninapokwama.

Tumia hizi virtual card za mitandao ya simu inakuwa rahisi zaidi.
So far nimeshatumia Master Card ya Airtel na Visa Card ya Vodacom, I think Tigo watakuwa na Master Card pia.

Cha kufanya ingia kwenye menu za pesa za mtandao husika tafuta hiyo huduma then tengeneza kadi utatumiwa message ya taarifa za card ambazo ni namba ya card, CVV number na tarehe ya card ku-expire,
Pia, huko kwenye hiyo menu utakutana na namna ya kuweka hela kwenye card.

Ukija huku ebay utakuja kuiweka taarifa za ile card kwa ajili ya malipo.

Note.
Malipo yote kupitia hizi Virtual Card wanakata 10% ya ile bei ya kitu unachonunua.
Mfano unanunua kitu bei yake pamoja na usafiri ni 100$ ambayo sawa na sh 254,500 wao watakukata sh 279,950 kwenye card yako.
Pia usisahau za wenzetu huwa zinabadilika thamani muda wowote. Huo mfano nimeutoa katika exchange rate ya 1$ sawa na sh 2,545
 
Wakuu hawa Speedaf kwa AliExpress wanafanya vizuri sana kwenye swala nzima la Delivery.
Naomba kuuliza vipi kwa upande wa mnaogazia vitu kutoka Ebay Je nako wapo hawa Speedaf ?
 
Saiv unaeza kufanya malipo kwa njia ya mpesa?
 
Katika siku nimelanda landa umu na sijatoka bure ni leo lipo jambo lakufanyia kaz kwenye haya mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…