Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

msaada wakuu.. nahitaji kuagiza camera ebay ila sifaham jinsi ya kutumia huu mtandao.. mwenye kujua naomba msaada wa maelekezo
Ukisoma hii mada kwa makini lazima utaweza kuagiza camera mwenyewe
 
Mkuu Paul, kwa hakika unastahili pongezi kwa kutumia muda wako wa thamani kutusaidia wanaJF wenzako kwenye jambo hili. Ahsante sana, you have my salute.
 
Hawa bancabc Mbona hawaeleweki nimeweka salio la tsh 397,000
nikanunua xiaomi redmi pro kwa dola 164.14 pamoja na shipping fee.
Nilitegeme itabaki ninunue case ila nashangaa imebaki 3758.20 kwa maana kwamba Jamaa wamefyeka buku 33 hivi.
Sielewi wametumia njia gani kucalculate?
Maana kule aliexpress thamani ni sawa na tsh 359,998
Sijaelewa huu mchezo ni kwangu tu au wote tunakumbana na jambo kama hili?
 
Nenda bank print statement utaona hiyo hela imetumika vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mtandao gani wa gharama nafuu kuanzia bei na gharama za usafirishaji,kwa mtu anayetaka kununua mzigo wa jumla kama USB Flash,memory cards,charger kwa ajili ya kusambaza kwa wateja
 
Hiyo ni kawaida kabisaa! Online rates zipo juu ukilinganisha na za banks. Na bei inayoandikwa kwa TZS kwenye hii page ya aliexpress ni Approximate tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo USD 164.14 = TZS 373,992.9851

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo USD 164.14 = TZS 373,992.9851
Bank rate tena iliyotumika hapa ni ndogo: 1usd = TZS. 2,278.500060923602

Muda mwingi huwa iko hivi
1usd = TZS 2,382 ( kwa paypal)

1usd = TZS 2422 ( iwapo utatumia amazon pay)

SPYMATE haujaibiwa rate iko sawa, Exchange rate ni moja ya changamoto kwa wanaofanya manunuzi mara kwa mara online.
 
Kwenye AliPay rates zao kweli ni changamoto, but kwenye PayPal na Amazon Pay wameweka bayana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chief pole na majukumu?nna samsang s5 screen ilivujia wino.siwezi pata cha kuliplace cha bei nafuu?
Mkuu, nshangua online purchase account ya CRDB nmedownload app ya PayPal but inaniomba zip code 1&2,nafanyaj hapo msaada Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…