Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,535
Mkuu kwa wasio na box ndio wanapokelea G. P.O ila wenye masanduku mzigo wanachukua ktk posta husika!!Kwa dar hawaweki parcel kwenye visanduku mzigo parcel zote makao makuu posta mpya ndipo pakuchukulia mzigo wako,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini?Wafanyakazi wa posta na wao ni mizigo pia mzigo Ukifika wanauchelewesha hawana support yeyote unaweza kusubiri hata siku tano wasithibitishe kuupokea, siku wakiamua watakutumia msg uende ukachukue mzigo wako. Parcel zote sasa hv ni posta mpya hata kama una sanduku Mbagala ubungo gongolamboto nk. Kwa dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Kuna kitu kama hicho !!Huu utaratibu umeanza 2019 ?
Kama ulipewa track namba mzigo ukishafika unapaswa uufatilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki hii( Jana) nimechukua mizigo kadhaa kwenye posta ya wilaya yangu, kama ilivyo kwa mizigo mingine yote.Parcel zote sasa hv ni posta mpya hata kama una sanduku Mbagala ubungo gongolamboto nk. Kwa dar es Salaam
Kuna hawa wachina wa kuitwa kikuu,jamaa wamerahisisha kila kitu,unaagiza mzigo unalipia kwa tigo pesa,airtel money au m pesa tena Tzs na unapokea mzigo kwa wakati,jamaa hawana longo longo
Kinachofanyika kikuu ndio kina fanyaika kwenye huu uzi hapa: www.bit.ly/101buy4meTueleweshe vizur inakuwaje hapo
SahihiKwa aliyenununua items aliexpress hivi karibuni na kutumiwa mzigo kupitia Singapore post, naona Kama jamaa wanaship mapema Sana siku hizi!, ama ni mimi tu?,
Wiki hii( Jana) nimechukua mizigo kadhaa kwenye posta ya wilaya yangu, kama ilivyo kwa mizigo mingine yote.
Ulipaswa kuuliza kulikoni mzigo wako haukufikishwa kwenye posta yako? wangekupa sababu, kuliko kufikia hilo hitimishi
JINSI YA KUFANYA ILI UJUMBE HUO USIJITOKEZEKwa muda mrefu sasa nashindwa kufanya manunuzi
katika mtandao wa aliexpress.com,
kila ninapojaribu napata meseji hii,
"For security reasons this process can
not be continued. ISC_RS_5100102051"
Mitandao mingine nanunua kama kawaida.
Tatizo nini, nishajaribu njia kadhaa sikufanikiwa
JINSI YA KUFANYA ILI UJUMBE HUO USIJITOKEZE
1. Fungua item husika
2. Click buy
3. Chagua Other payment method
4. Click confirm and pay
5. Itajitokeza ukurasa mpya wa kujaza card detail -USIJAZE CHOCHOTE NA CANCEL HIYO TAB
6. Rudi kwenye account yako, Click MY ORDERS
7. Chagua awaiting payment.
8. Hapo ingiza taarifa za kadi yako, na itakubali na manunuzi yatakuwa yamekamilika.
View attachment 1013032
CHANZO CHA HILO TATIZO: Ni security issue katika mfumo wao wa malipo, aliexpress/ alipay, kwa mastercard.
UFUMBUZI WA KUDUMU: Kuwa na card mbadala ya kufanyia malipo - Tafuta VISA CARD
Je huwa unatumia simu au pc?majibu ya
for security reasons na order ikawa canceled
Je huwa unatumia simu au pc?
Je ni browser ipi unatumia?
#1. Chart na customer care aliexpress baada ya ku_login kwenye account yakoNatumia PC, browser ya Mozilla.
Nilishajaribu kwa simu pia ilinikatalia
kwa siku za nyuma.
Kama ulipewa tracing number ingia 17track utaona mzigo ulipo.Wakuu nimeagiza mzigo AliExpress umefika according lakini mbona sijapigiwa simu Na Hawa posta au natakiwa enda physically mwenyewe Na nilitumia address ubungo DSM sasa itakuwa imeenda posta ya ubungo au ile ya mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandikaje anuani usiyoijua mkuu. Huyo mwenye boksi la Posta atachukua huo mzigo uwatupie lawama wazee wa Posta.Hivi posta ya ubungo iko wapi mkuu huwezi amini niliandika tu lakini sijawahi jua iko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana chief sikuweka specific anuani yani niliandika tu ubungo DSM..Unaandikaje anuani usiyoijua mkuu. Huyo mwenye boksi la Posta atachukua huo mzigo uwatupie lawama wazee wa Posta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wamebadilika kiasi.Hapana chief sikuweka specific anuani yani niliandika tu ubungo DSM..
Btw nilishapata mzigo wangu muda kidogo tangu January ila nilienda chukulia posta ya mjini sio ubungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kwa Sasa naona utendaji wao umekuwa vizuri kiasi japo bado wanahitaji mabadiliko zaidi
Ni kweli kwa Sasa naona utendaji wao umekuwa vizuri kiasi japo bado wanahitaji mabadiliko zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app