chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
karibuAsante
Akienda kwa mwenzio wanavurugana akitoka kuoga anakuta tai imeshafungwa kila kitu kiko kama ametoka nyumbani jifunze tu hutapungukiwa kituKufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie
hapo ni kama unamla ng'ombe halafu unabakisha mkia, kisha mkia unakuletea shida kubwa....vitu vidogo vidogo vinaweza vikaleta rabsha kubwa..Kufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie
Thread inakuwa yako kabla ya kuiposti, ila ukishaiposti inakuwa sio yako tena, inakuwa ni mali ya umma,,,, kwahiyo usiwe mbinafsi hii ni yetu sote mwayawhat does this got me to do with my thread?
i mean hicho ulichopost kinahusiana vip na hii thread?Thread inakuwa yako kabla ya kuiposti, ila ukishaiposti inakuwa sio yako tena, inakuwa ni mali ya umma,,,, kwahiyo usiwe mbinafsi hii ni yetu sote mwaya
Ooh, Simple kinamuhusu niliyem-tag... Sorryi mean hicho ulichopost kinahusiana vip na hii thread?
Kufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie
Ahsante sanaInawezekana umeolewa halafu bwana anataka kwenda kazini unatakiwa umuandalie mavazi lakini vyote unaweza ila kwenye kufunga tai unaumbuka, unaonekana mshamba pengine kukaripiwa na kuharibiwa siku asubuhi
au pengine wewe ni kijana unaishi kwako mwenyewe na unataka utoke na mtoko wa tai ila unaishi peke yako lakini na hakuna mtu wa kukusaidi jirani.. hii video hapa itakusaidia namna ya kufunga tai kwa sekunde kumi tuna ni njia rahisi sana
Jamani we my wiiKufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie