I like it, its very very simpleInawezekana umeolewa halafu bwana anataka kwenda kazini unatakiwa umuandalie mavazi lakini vyote unaweza ila kwenye kufunga tai unaumbuka, unaonekana mshamba pengine kukaripiwa na kuharibiwa siku asubuhi
au pengine wewe ni kijana unaishi kwako mwenyewe na unataka utoke na mtoko wa tai ila unaishi peke yako lakini na hakuna mtu wa kukusaidi jirani.. hii video hapa itakusaidia namna ya kufunga tai kwa sekunde kumi tuna ni njia rahisi sana
welcomeThank you for sharing
jifunze tu anyway, hata mogo wako au kaka yako akipata kipaimaraNikimpata anaevaa tai ntajifunza
Asante wangujifunze tu anyway, hata mogo wako au kaka yako akipata kipaimara
karibuAsante sana sanaaaah!
karibuasante shule, ilinifanya nijue kufunga tai.
Ataenda kufungiwa na mchepuko hamna shidaKufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie
Ndio maana kila siku tunagombana....Kufua nimfulie,nimnyooshe
e tai tu Ashindwe kujifungia?Duh atasubiri sana kufungiwa tai na mie
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndio maana kila siku tunagombana....