Jifunze jinsi zoezi la ununuzi wa Hisa linavyofanyikaa

Jifunze jinsi zoezi la ununuzi wa Hisa linavyofanyikaa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210129_121116_0000.png


Mwekezaji anayetaka kununua
hisa atafuata taratibu zifuatazo:

a) Kuwasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kununua hisa

b)Kujaza fomu maalum za kununua hisa na kulipia hisa unazotaka kununua

c) Dalali ataweka fedha kwenye akaunti maalum ya benki kwa ajili ya kununua na kuuza hisa za wateja

d) Dalali ataweka oda yako ya kununua hisa kwenye mfumo wa kompyuta wa soko la hisa akitumia namba maalum ya mteja.

e) Iwapo bei unayotaka kununulia hisa itafanana na bei ya mwekezaji mwingine anayetaka kuuza, basi atakuwa amekununulia hisa hizo. Mwekezaji atapokea cheti cha kuthibitisha kuwa ni mwekezaji kwenye kampuni hiyo.
 
Upvote 2
View attachment 1688948

Mwekezaji anayetaka kununua
hisa atafuata taratibu zifuatazo:

a) Kuwasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kununua hisa

b)Kujaza fomu maalum za kununua hisa na kulipia hisa unazotaka kununua

c) Dalali ataweka fedha kwenye akaunti maalum ya benki kwa ajili ya kununua na kuuza hisa za wateja

d) Dalali ataweka oda yako ya kununua hisa kwenye mfumo wa kompyuta wa soko la hisa akitumia namba maalum ya mteja.

e) Iwapo bei unayotaka kununulia hisa itafanana na bei ya mwekezaji mwingine anayetaka kuuza, basi atakuwa amekununulia hisa hizo. Mwekezaji atapokea cheti cha kuthibitisha kuwa ni mwekezaji kwenye kampuni hiyo.
Dah!! asa mbona mnadonoadonoa tu hamwendj kiurefu tukapata hata chakuuliza ili tukuze uwelewa wetu
 
Siwezi nunua hisa bongo hii. Bora ninunue kwa kina etoro na wengineo nijue moja, bongo mzunguko hautembei. Wewe uliona wapi soko la hisa linafunga siku nzima bila kutrade hata dola moja? Ilitokea mwaka jana kipindi cha corona.
 
View attachment 1688948

Mwekezaji anayetaka kununua
hisa atafuata taratibu zifuatazo:

a) Kuwasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kununua hisa

b)Kujaza fomu maalum za kununua hisa na kulipia hisa unazotaka kununua

c) Dalali ataweka fedha kwenye akaunti maalum ya benki kwa ajili ya kununua na kuuza hisa za wateja

d) Dalali ataweka oda yako ya kununua hisa kwenye mfumo wa kompyuta wa soko la hisa akitumia namba maalum ya mteja.

e) Iwapo bei unayotaka kununulia hisa itafanana na bei ya mwekezaji mwingine anayetaka kuuza, basi atakuwa amekununulia hisa hizo. Mwekezaji atapokea cheti cha kuthibitisha kuwa ni mwekezaji kwenye kampuni hiyo.
Nilipoona tu neno dalali umenikatisha tamaa kabisa sijui ni kwa nini nimekuja kukosa imani na hao viumbe aisee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom