Farudume12
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 621
- 348
Quelle est la plus facile? ipi rahasi zaidiQuelle est facile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quelle est la plus facile? ipi rahasi zaidiQuelle est facile?
Bien sur,le groupe nous aidera de comprende bien la langue française,naunga mkono hojaMnaonaje tukiunda group la whatsapp la kujifunza kifaransa?
Whatsapp tunaweza kuuliza na kujibu maswali kwa haraka zaidi,hata kutuma picha na videos kwa haraka. Je pense c'est bon idee, et vous mes amis?
NB: huu uzi JF bado utaendelea kuwepo.
Mnaonaje tukiunda group la whatsapp la kujifunza kifaransa?
Whatsapp tunaweza kuuliza na kujibu maswali kwa haraka zaidi,hata kutuma picha na videos kwa haraka. Je pense c'est bon idee, et vous mes amis?
NB: huu uzi JF bado utaendelea kuwepo.
hahahha unaweza kutafutwa kwa kujifunza lugha? na pia ndio maana nimeweka link ya kujiunga moja kwa moja hakuna haja ya kunipa namba wala kuweka humu jukwaani.Kuwa na group la whatsapp ni wazo zuri, lakini mkumbuke kwamba mnaweza kuhatarisha usalama wenu.
Unaweza toa hoja kerefu humu ndani ukaanza kutafutwa kwa group. Whatsapp groups kwa sasa si mahali salama kutoa mawazo huru kwani kuna nusanusa humo...!!
Tafakari...!!
Nimekukubali mkuu!hahahha unaweza kutafutwa kwa kujifunza lugha? na pia ndio maana nimeweka link ya kujiunga moja kwa moja hakuna haja ya kunipa namba wala kuweka humu jukwaani.
click here kujiunga Learn French Language
Mbona kama sio French!Me no entiendo, necesito el voz porfavor!
kireno kinaendana sana na spanish mimi hakipandiMkuu cosa nostra, vipi kireno kinapanda? Kusema ukweli Mimi na kifaransa kama mafuta na maji, kwanza uandishi wake ambapo herufi zake huwa zinaduwaza sana, pili utamkwaji wake aisee ni shida! Asa sijui nifanyeje
ni PM nikupe shule mubasharaNatamani kweli kukujua vizuri!!
Asante mkuu!!! Mpaka niongee French mwaka huuasante , ila wenye smartpone nendeni play store na mpakue app ya duo lingo ni free unachagua lugha ya kujifunza
Ne tínquiete pas mon garMerci cosa nostra Tous ensemble pour ce combat.Tu seras la bienvenu!!!!
We acha tu! Hii Lugha nimesoma kuanzia primary mpaka secondary nikaishia kukrem tu kwa ajili ya mitihani [emoji23][emoji23]ni PM nikupe shule mubashara
french ni lugha nyepesi sana ukiwa una practice ila kama huongei inakua ngumu sana hasa matamshiWe acha tu! Hii Lugha nimesoma kuanzia primary mpaka secondary nikaishia kukrem tu kwa ajili ya mitihani [emoji23][emoji23]