Jifunze kilimo cha nyanya

Jifunze kilimo cha nyanya

Ahsante mkuu!!
Hii assila inaeza kubali huku maeneo ya kyela !?
Nimepata ka-space karibu na maji nataka nijaribu karobo heka tu!!
 
405f39ed28fcd18398e4e09f8af71d2d.jpg
Kwa namna matunda hayo yanavo onekana, inaonesha wazi kuwa jua liliyachoma vema na vile vile hayakupata matunzo sahihi mkuu, af piah angalia maji unayo tumia huenda ni chumvi nyingi mkuu
 
Zimefungiwa labda kama mmwagiliaji anazimwagia maji vibaya

Nilitegemea zinakua hivyo halafu zinakakamaa na kuweka weusi sababu kuna niliyoiona hapo inasifa hizo sasa unaposema halafu inaoza inaweza kua na tatizo zaidi ya moja yaani ina
Kuoza kitako (blossom end rot) na pia kuna
Tuta absoluta (kantangaze).
Confirm kwanza kama zinaoza au haziozi,kama zinaoza naomba picha moja ya iliyooza hapa

4d844ff71583abbf02198bd6cbff6378.jpg

Hii ni blossom end rot,kitako kinakakamaa hakiozi
 
Nilitegemea zinakua hivyo halafu zinakakamaa na kuweka weusi sababu kuna niliyoiona hapo inasifa hizo sasa unaposema halafu inaoza inaweza kua na tatizo zaidi ya moja yaani ina
Kuoza kitako (blossom end rot) na pia kuna
Tuta absoluta (kantangaze).
Confirm kwanza kama zinaoza au haziozi,kama zinaoza naomba picha moja ya iliyooza hapa
4d844ff71583abbf02198bd6cbff6378.jpg

Hii ni blossom end rot,kitako kinakakamaa hakiozi
Hili ndo tatizo hasa. Kitako kinakakamaa. Dawa yake ni hipi mkuu?
 
Nitalifanyia kazi haraka. Pia nina tikiti limeanza kutoa maua ila mengi yanakauka na kudondoka. Msaada wako

Weka can na maji ya kutosha sio uzidishe,ukikosa calcium na maji kwenye mmea mengi yatakukumbuka kama ya maua kudondoka au matunda kuoza chini.

Pia tazama yanayodondoka ni ya kiume au ya kike?tazama matunda yapo
 
Weka can na maji ya kutosha sio uzidishe,ukikosa calcium na maji kwenye mmea mengi yatakukumbuka kama ya maua kudondoka au matunda kuoza chini.

Pia tazama yanayodondoka ni ya kiume au ya kike?tazama matunda yapo
Nakushukuru sana mkuu. Unatambuaje ya kiume na kike?
 
Weka can na maji ya kutosha sio uzidishe,ukikosa calcium na maji kwenye mmea mengi yatakukumbuka kama ya maua kudondoka au matunda kuoza chini.

Pia tazama yanayodondoka ni ya kiume au ya kike?tazama matunda yapo

Asisahau pia kutumia mbolea kama Mult k au Polyfeed finisher
 
Nakushukuru sana mkuu. Unatambuaje ya kiume na kike?

Tazama umbali wa tunda moja mpaka lingine kwa urahisi,huwa ni kati ya manne mpaka matano. Ukiona yaliyodondoka ni kati ya huo umbali basi ni ya kiume yanatoka so sio tatizo sababu yakimaliza pollination hayana kazi tena. Kila mmea unatakiwa uwe na matunda mawili mpaka matatu kama unaulisha vyema
 
Wakuu nimeufuatlilia huu uzi kwa umakini sana toka mwanzo, nimejifunza mengi sana katika kilimo hiki cha nyanya. Mimi ndo nimeanza mwaka huu kilimo hiki nimeanza na nusu eka kwa majaribio ila pia nimetumia hizi mbegu za kawaida nia yangu ilikua ni kujifunza kwanza kabla ya kuingia rasmi. Nimeshatoa miche kitaluni kuamishia shamba, nimetumia DAP katika kuoteshea.

Naomba kufaham mbolea gani inafuata bada ya hapo na ni baada ya muda gani niiweke miche inasiku tano toka niioteshe shamba na pia nimenunua buster ya WUXAL naomba kujua kipimo cha kuweka kwa solo la lt 20. Natanguliza shukrani wajasiria mali wenzangu.
 
c296d201ee9d02beed2d74764b2b2f65.jpg
41c04c7f04e2b6201ebac948f0a99135.jpg

Msaada leo ni siku ya tatu tokea niamishie shambani wakati wa kupanda niliweka samadi iliooza vizuri ya kutosha na kisha nikaweka DAP 1.5gm kwa kila shimo baada ya hapo nikalipiga shimo maji ya kutosha na kisha kupanda baada ya kupanda nikapiga runner na snow plus runner niliweka vijiko vi tano vya chakula snow plus 30ml kwa 20lt msaada
 
Wakuu nimeufuatlilia huu uzi kwa umakini sana toka mwanzo, nimejifunza mengi sana katika kilimo hiki cha nyanya. Mimi ndo nimeanza mwaka huu kilimo hiki nimeanza na nusu eka kwa majaribio ila pia nimetumia hizi mbegu za kawaida nia yangu ilikua ni kujifunza kwanza kabla ya kuingia rasmi. Nimeshatoa miche kitaluni kuamishia shamba, nimetumia DAP katika kuoteshea. Naomba kufaham mbolea gani inafuata bada ya hapo na ni baada ya muda gani niiweke miche inasiku tano toka niioteshe shamba na pia nimenunua buster ya WUXAL naomba kujua kipimo cha kuweka kwa solo la lt 20. Natanguliza shukrani wajasiria mali wenzangu
Inayofwata hapo ni urea mkuu... Ndani ya wiki mbili zijazo kutoka leo... Weka urea ili mmea uwe na majan na rangi ya kijani ya kutosha... Kumbuka majan ndio yanatumika kutegeneza chakula cha mmea na mpaka hapa mmea umefikia hatua ya ukuaji...

Nb: kabla ya kuweka urea hakikisha umemwagilia maji kwanza...
 
Inayofwata hapo ni urea mkuu... Ndani ya wiki mbili zijazo kutoka leo... Weka urea ili mmea uwe na majan na rangi ya kijani ya kutosha... Kumbuka majan ndio yanatumika kutegeneza chakula cha mmea na mpaka hapa mmea umefikia hatua ya ukuaji...

Nb: kabla ya kuweka urea hakikisha umemwagilia maji kwanza...

Nashukuru sana kiongozi, na je hii buster
IMG_1928.JPG
kipimo chake ni ml ngapi kwa solo la lt 20 msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom