Jifunze kuacha kistaarabu

Jifunze kuacha kistaarabu

22nd

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2010
Posts
494
Reaction score
137
Kwa wale wote ambao mkiachwa au mkitaka kuacha lazima mtumie matusi na kejeli kibao, kuharibiana vitu au kupigana, kutukaniana wazazi na kuharibia mitaani au kazini.

Jifunzeni ustaarabu, dunia ni ndogo hujui nani atakufaa in the future
Hata kama una hasira kiasi gani, hold your breath, calm yourself down na fikiria vitu vyote vizuri ulivyovifanya na yule mtu.Asiye kufaa leo anaweza kukufaa baadae.

Mambo ya kutukanana ni ya wale watoto wa miaka 14-18.

Nilituma hii email, nilitegemea reply yake itakuwa ya matusi na kejeli lakini ikaja reply ambayo ilinifanya nilie siku nzima. sio kwamba bado nampenda huyu mtu ila ni jinsi ambavyo ametumia ustaarabu.

MY e-Mail

Hello Paul.
I would like to inform u that on DATE of May this DAY will be my birthday.It is like a new year for me.
I want to start all over again(born again).
I want to cut off all the people I dont wish to have a relationship with.
Please respect my decisions.
Gud luck and wish u all the best


REPLY

Hello Mzuanda,
Thank's for your e-mail. I like your idea and I wish you success with it. I do try that from time to time. I think you will be more successful than I am right now. I believe you will have no problem in cutting me off.
I would have loved to have some kind of relationship with you, but we tried and failed miserably (through no fault of yours).
I wish you a big HAPPY BIRTHDAY! I hope it is a special day for you and that you get some really good presents. I really do think you are a wonderful person.
If by chance our paths should cross in the future I hope we can be respectful towards each other (which I believe we can).
I am very sorry for any hurt or anguish I may have caused you (hopefully I didn't).
All the very best with your studies and for your future Mzuanda.
Kind regards
Paul


ANOTHER REPLY

I am left with good thoughts of you Mzuanda.
See you in the future, don't know when, don't know where, but out there somewhere by chance, if it is meant to be.
All the best
Paul
 
Jamaa mstaarabu sana na hivi ndivyo inavyotakiwa iwe badala ya kuanza kasheshe na kuvurumusha matusi ya nguoni na kuanza kumsema mdada vibaya kwa watu wengine. Yule mwanamke hivi yule mwanamke vile ali mradi tu kumponda na wakati ulipokuwa naye hukuziona kasoro hizo. Bahati mbaya si wanaume/wanawake wengi wanakuwa wastaarabu kiasi hicho ni lazima tu kasheshe liwepo la nguvu tu hata mkikutana mtaani mnapishana kama vile ni maadui.

YouTube - ‪Boyz II Men - End Of The Road‬‏
 
labda awe mzungu,mwafrica thubutuuuuuu! ukimtumia email kama uliyotuma ataona unajipendekeza! atahakikisha anakuvua nguo kwa mara nyengine kisha akudump!😛ound:
 
labda awe mzungu,mwafrica thubutuuuuuu! ukimtumia email kama uliyotuma ataona unajipendekeza! atahakikisha anakuvua nguo kwa mara nyengine kisha akudump!😛ound:

Yes Guys, ni mzungu, ila naamini hata mweusi anaweza kuwa mstaarabu . tujifunze mazuri kutoka kwao na mabaya yao tuwaachie wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mzuanda wengine huwa ishu lakini inategemea mmeachana vipi msikilize Chris Brown anavyosema hapa
YouTube - ‪Chris Brown - She Ain't You‬‏

She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you

Verse:
You make it hard for me
to see somebody else
I'm calling her your name
and yeah its messed up
'Cause im thinkin 'bout you
It's your fault, babe
I never wanted us to break up
No, not this way
But you don't understand it girl
When she touches me
I'm wishing that they were your hands
and when I'm with her its only 'bout the sex
With you I had a bad romance
and if I could
just trade her in i would
cause nobody compares to you nooo...yeah

Chorus:
I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
And now I realize that she ain't you
Oh (no she ain't you)
Whoa oh oh (Na na na)
Whoa oh oh (Na na na)
She ain't, no she ain't you


[ From: CHRIS BROWN - SHE AIN'T YOU LYRICS ]

Verse:
I been sleeping out
For quite some nights now
It's not the same in my bed
But if she found out, whats going on in my head
It'll be all bad, have me right back
But you don't understand it, girl
When she touches me, I'm wishing that they were your hands
And when I'm with her it's only bout the sex
With you I had a bad romance
And if I could, just trade her in I would
Cause nobody compares to ya

Chorus:
I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
And now I realize that she ain't you
No she a-ain't, she ain't you (x8)

I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
Now I realize that she ain't you
Oh (no she ain't you)
Whoa oh oh (Na na na)
Whoa oh oh(Na na na)
She ain't, no she ain't you
 
Mi nadhani tujikite zaidi katika kujitahidi kuwa na moyo wa kutoachana, sidhani kama itakuwa vema tukijifunza namna ya kuachana, kuachana siyo kitu kizuri
 
She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you, no
She a-ain't, she ain't you

Verse:
You make it hard for me
to see somebody else
I'm calling her your name
and yeah its messed up
'Cause im thinkin 'bout you
It's your fault, babe
I never wanted us to break up
No, not this way
But you don't understand it girl
When she touches me
I'm wishing that they were your hands
and when I'm with her its only 'bout the sex
With you I had a bad romance

and if I could
just trade her in i would
cause nobody compares to you nooo...yeah

Chorus:
I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
And now I realize that she ain't you
Oh (no she ain't you)
Whoa oh oh (Na na na)
Whoa oh oh (Na na na)
She ain't, no she ain't you


[ From: CHRIS BROWN - SHE AIN'T YOU LYRICS ]

Verse:
I been sleeping out
For quite some nights now
It's not the same in my bed
But if she found out, whats going on in my head
It'll be all bad, have me right back
But you don't understand it, girl
When she touches me, I'm wishing that they were your hands
And when I'm with her it's only bout the sex
With you I had a bad romance
And if I could, just trade her in I would
Cause nobody compares to ya

Chorus:
I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
And now I realize that she ain't you
No she a-ain't, she ain't you (x8)

I think I better let her go
I can't leave you alone
Every day that I'm with her, all I want is you
I wanna leave, but I'm afraid
That you don't even feel the same
Now I realize that she ain't you
Oh (no she ain't you)
Whoa oh oh (Na na na)
Whoa oh oh(Na na na)
She ain't, no she ain't you
BAK ikifika hiyo sehemu kwenye red huwa nacheka sana sijui wakati anaandika lyrics alikuwa anamfikiria Rihanna nafikiri image yake bado inam-hunt.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK ikifika hiyo sehemu kwenye red huwa nacheka sana sijui wakati anaandika lyrics alikuwa anamfikiria Rihanna nafikiri image yake bado inam-hunt.

Nadhani ni Rihanna...Yaani jamaa kaoza sana kwa Rihanna..sijui Rihanna kwa nini hataki kump another opportunity to rekindle their love, siku za karibuni inadaiwa wameanza kuzungumza tena. Kuna nyimbo kama tatu au nne za CB ambazo nadhani zinamuhusu Rihanna.
YouTube - ‪Chris Brown - Crawl [Official Video]‬‏



 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata issue ikiwaje, jifunze,usiropoke hapo hapo, kaa fikiria baada ya muda hasira zikiisha ndio utapata kuwa na busara.
Huyu mshkaji aliniudhi sana,ila nilitafuta tu sababu nyengine za ku end this relationship na ilichukua kama mwezi hivi.
Tujifunze ku control hasira zetu
Dogo kakamatika huyo
 
Back
Top Bottom