Jifunze kubet kwenye Basketball, ni afadhali sanaa kuliko Football

Jifunze kubet kwenye Basketball, ni afadhali sanaa kuliko Football

Screenshot_20190705-132640.png
Screenshot_20190705-132630.png
 
Nauliza vp zile point wanazoweka kwamfano unakuta wameweka (over 164.5) inamaana ni Yale magoli wanayofungana jumla iwe 164 kwa robo zote 4 au
 
Dah hii kitu ukitulia unapiga hela nimeangalia game moja mpk robo ya 3 tayari ishatoa over 180
 
Hpn lzm uangalie mambo yalivyo lkn game za SAA tano unusu asbh hii nimeweka ngoja niangalie
 
samahan boss nimepata mbinu mpya za kula kila game tena kwa lazima hivo sidhan ka ntakua na mda cos saiz nataka nifanye betting kaz n kesho kuna mtu nataka akanikopeshe 30k ili niingie rasmi mzigon sitak niwasiliane na mtu yyte n nisiwe natumia social networks ; sitok ndani wala kifup ntakua busy ko ka kuna siku ntatoa elimu ya kubet michezo mingine mbal na football ni leo
Tuelezee hii mbinu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom