Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Endelea kujidanganya. Mwanamke hata umpe nini, haeleweki. Hata mwanamke mwenyewe hafahamu ni nini anataka sembuse wewe ujifanye kumpa pesa kwa surprise? Wanawake ni nyoko mkuu; huwajui vizuri.
 
Endelea kujidanganya. Mwanamke hata umpe nini, haeleweki. Hata mwanamke mwenyewe hafahamu ni nini anataka sembuse wewe ujifanye kumpa pesa kwa surprise? Wanawake ni nyoko mkuu; huwajui vizuri.
Nasikia mwl wao ni kipofu tena alisha kufa, anampanga mtu mwingine wakati huo uko naye akidhani huwezi kugundua kumbe una mchora tu Tena anapokea simu bila wasi ili uwe Mpole
 
Eva/Hawa alipewa vyote atakavyo,
lakini alimponza mshkaji(Adamu).
Hawa viumbe hawa.....hiiiiiiiii!
Unamkumbuka Delila?
Alikosa nini kwa Samsoni?
 
Wanakuja PM
 
Mie sifanyi mwamala wala mwamalaya na bado najitafunia mbususu za kutosha hapa Dom kiasi kwamba niking'ata mtoto wa mtu huwa haniachi mpaka nimchoke mwenyewe nimpige tukio
 
Mie sifanyi mwamala wala mwamalaya na bado najitafunia mbususu za kutosha hapa Dom kiasi kwamba niking'ata mtoto wa mtu huwa haniachi mpaka nimchoke mwenyewe nimpige tukio
Uongooo
 
Daaah🤣🤣
 
Extrovert
 
Aya ndo mambo sasa ☺️
 
Love don't cost a thing.

Mwanamke atatumia hizo pesa zako kutumia na mpnz asiye na pesa hata cent Moja.
Kwani kadiri unavyompa pesa ndy anaamini kwamba penzi lenu linaendeshwa Kwa pesa zako na sio true Love.
 
Inategemeana unajua kuna mambo mengi kwenye mapenzi unaweza ukawa unatuma pesa unakuta mwanamke hakupendi anampenda pesa zako unakuta mwanamke Hana hisia na wewe na hawezi kukwambia na unaweza ukawa unatuma hio pesa unakuta anampelekea bodaboda anampenda na anaemkuna vizuri omba mungu sana na hawa wanawake mungu akupe mtu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…