chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Sisi hiyo tunaita "Roho Mtakatifu" ndiye asemaye ndani yetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
salama tu mkuu. Jumapili yako inasemaje?Mambo vipi dada[emoji2]
SawaNakataa
Nafsi=nothing
Iko vizuri sjui yako wewesalama tu mkuu. Jumapili yako inasemaje?
waafrika ndio ushauri wetu huo lkn hiyo inaweza ikawa na faida au hasara pia!Sawa mkuu hongera Sana hata Nuhu alinambia watu walikataa kama wewe sikushangai
Ukiwa sio Mtu wa wanawake hizi nguvu hutenda kwa kiwango kikubwaHizo ni instincts, binafsi naziamini kuliko hata wazazi wangu, ila Sasa lazima uwe na utulivu safi wa kifikra na kuondoa makando kando Ili utofautishe kati ya instincts zako na za kubambikiwa zinazotokana na stress, ushirikina.
Wachache sana wanaweza Kuzichambua na ni ambao wanatenganisha nafsi na Uchafu..Hizo ni instincts, binafsi naziamini kuliko hata wazazi wangu, ila Sasa lazima uwe na utulivu safi wa kifikra na kuondoa makando kando Ili utofautishe kati ya instincts zako na za kubambikiwa zinazotokana na stress, ushirikina.