Jifunze kutumia troubleshooting tool iliyomo kwenye OS ya PC yako kutatua matatizo ya PC yako kabla ujamwona fundi maana akina fundi Michael ni wengi

ahaaa...
halaf nlitaka nifahamu kama unazifahamu pc zinzitwa SYSTEM 76
Slfahamu sana kuhusu hizo computer, ila kulingana na maelezo ya manufacturer wake, kama wewe ni mpenzi wa window os hutaweza weka window os humo, maana inakuja na os yake inayofanana na linux kwa hiyo linux, ubuntu au os za aina hiyo zinaweza fanya kazi vizuri na keyboard yake si kama pc zetu.
 
ahaaa...
sawasawa.


 
mimi nataka nijaribu kutumia simu kutengeneza website(a front-end)... hiv kuna editor gan nzur ya html, css na JavaScript ambayo naweza kutumia kwenye simu?
 
mimi nataka nijaribu kutumia simu kutengeneza website(a front-end)... hiv kuna editor gan nzur ya html, css na JavaScript ambayo naweza kutumia kwenye simu?
anWriter free HTML editor - Apps on Google Play
Hiyo hapo juu ni sawa na bracket editor ya pc lakini kufanya preview ya page inayotengeneza inatumia h tu HTML viewer ya android, hii haifanyi rendering ya page kuwa smooth kama browser kwa kuwa Kuaccess file HTML kwenye android huwa halisomwi director na browser mpaka ufungue browser na ulitafute kwa kutumia uelekeo bar yaani file://... ndio linaji render.

Kuhusu keyboard iko poa maana special characters zote zipo.

Ushauri wangu:
Kama uko serious ni bora ukatafuta pc hautasumbuka.
Tatizo kubwa la android ni issue ya file access kama una kiwebsite flani jkikitupia humo file zote za html, JavaScript na css ukiongeza picha zinatengewa kutoka kwenye folder moja yaani zinasambaa. Kwa hiyo itakubidi uzipange tena.

Kama hauna pesa ya pc tafuta tablets yoyote maana ina kioo kipana kwa kuwa kwenye smartphone itatakiwa kila unapoona interface basi u deal na media query ili uone vizuri.
 
shukran....

 
Shukrani kwa Elimu Mkuu.
Mimi PC Yangu haifanyi Kazi Kasa,Mpaka natumia Mouse ku operate. Msaada nawezaje Kuitatua? Tatizo hili lilitokea baada ya Kumpelekea Fundi aipige Chini Window. Na alishindwa kulitatua Tatizo hili.
 
Shukrani kwa Elimu Mkuu.
Mimi PC Yangu haifanyi Kazi Kasa,Mpaka natumia Mouse ku operate. Msaada nawezaje Kuitatua? Tatizo hili lilitokea baada ya Kumpelekea Fundi aipige Chini Window. Na alishindwa kulitatua Tatizo hili.
jaribu kufuata maelekezo hapo juu kwanza, kisha tutaendelea
 
Sema nina tatzo moja PC yang ilitaka nifany activation ya window nkatumia Microsoft toolkit ikakaa poa ila baada ya muda tena ikawa inajiandika kwny screen kwa chin kuwa n activate windows nkahs labd setup ya toolkit imeliwa na antvirus nkadownload upya huku nkiwa nmezuia ad window defender ila still bado iko vlevle inaniandkia niactivate, msaada plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 

download hii activator kisha turn off window defender install kisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…