Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Nipo jirani na mwenye nyumba ambae mpangaji wake anatengeneza udongo wa mpemba toka Kigoma baada ya kuambiwa faida zake.
Mwenye nyumba kaanza visa, mara vumbi linaleta mafua, mara unachafua nyumba na vumbi lako.
Hii sio sawa.
Mwenye nyumba kaanza visa, mara vumbi linaleta mafua, mara unachafua nyumba na vumbi lako.
Hii sio sawa.