Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 496
Habari za uzima wakuu!
Watu wengi wamekuwa namaswali kuwa time travel haiwezkani.
Kwa nini
Hii ni kutokana na kanuni za Newton za Mwendokasi.
kuwa haiwezkani kwa kuwa ili kuurudisha muda nyuma itabidi na mass nayo ibebwe ambacho ni kitu hakiwezkani mean kiko infinity.
Lakini inasemekana kuwa ukiweza kukimbia spidi kuupita Mwanga kutoka katika solar system kitu ambacho hakiwezkani.
Tuje kwenye mada
Njia ya kutumia wormholes na space ships inawezekana na hii ndio njia wanayotumia Aliens kusafiri kutoka kwenye sayari zao za mbali.
Sitaekezea kwa mapana ila nahitaji wakuu wengine kama kina
@Monstagla ba wengine mje labda kuba kitu mnaweza nijuza kwa mapana zaidi..
With regard
Watu wengi wamekuwa namaswali kuwa time travel haiwezkani.
Kwa nini
Hii ni kutokana na kanuni za Newton za Mwendokasi.
kuwa haiwezkani kwa kuwa ili kuurudisha muda nyuma itabidi na mass nayo ibebwe ambacho ni kitu hakiwezkani mean kiko infinity.
Lakini inasemekana kuwa ukiweza kukimbia spidi kuupita Mwanga kutoka katika solar system kitu ambacho hakiwezkani.
Tuje kwenye mada
Njia ya kutumia wormholes na space ships inawezekana na hii ndio njia wanayotumia Aliens kusafiri kutoka kwenye sayari zao za mbali.
Sitaekezea kwa mapana ila nahitaji wakuu wengine kama kina
@Monstagla ba wengine mje labda kuba kitu mnaweza nijuza kwa mapana zaidi..
With regard