Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Charlie Chaplin alipofariki akiwa na miaka 88
aliacha kauli 4:
1. Hakuna kinachodumu milele duniani, hata matatizo yetu.
2. Napenda kutembea kwenye mvua kwasababu hakuna atakayeyaona machozi yangu.
3. Siku iliyotumika vibaya zaidi maishani ni ile siku ambayo hatucheki.
4. Madaktari sita bora zaidi duniani ni...
I. Mwanga wa jua
II. Mapumziko
III. Mazoezi
IV. Mlo bora
V. Kujithamini
VI. Marafiki
Fanya hayo yote katika hatua zote za maisha yako ufurahie maisha bora.
Ukiuona mwezi utauona uzuri wa Mungu.
Ukiliona jua utaona uwezo na nguvu za Mungu
Ukijitazama kwenye kioo, utaona uumbaji bora kabisa wa Mungu
Amini Kuwa
Sisi sote ni watalii, Mungu ndiye anayeratibu safari yetu ambapo amekwishapanga kila kitu, vyumba vya kulala na tutakapoishia.
Mwamini Yeye na furahia MAISHA
Maisha ni safari!
Ishi leo vizuri!
aliacha kauli 4:
1. Hakuna kinachodumu milele duniani, hata matatizo yetu.
2. Napenda kutembea kwenye mvua kwasababu hakuna atakayeyaona machozi yangu.
3. Siku iliyotumika vibaya zaidi maishani ni ile siku ambayo hatucheki.
4. Madaktari sita bora zaidi duniani ni...
I. Mwanga wa jua
II. Mapumziko
III. Mazoezi
IV. Mlo bora
V. Kujithamini
VI. Marafiki
Fanya hayo yote katika hatua zote za maisha yako ufurahie maisha bora.
Ukiuona mwezi utauona uzuri wa Mungu.
Ukiliona jua utaona uwezo na nguvu za Mungu
Ukijitazama kwenye kioo, utaona uumbaji bora kabisa wa Mungu
Amini Kuwa
Sisi sote ni watalii, Mungu ndiye anayeratibu safari yetu ambapo amekwishapanga kila kitu, vyumba vya kulala na tutakapoishia.
Mwamini Yeye na furahia MAISHA
Maisha ni safari!
Ishi leo vizuri!